Recent content by JOSEPHAT.P

  1. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Tukifanya tutawajulisha wadau
  2. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Jamani wadau wa jf,habari za mizunguko ya hapa na pale......uandishi wa business plan bado unaendelea.....karibuni
  3. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Pia hakkisha soko liwepo ili usije ukaanza project hujui end user wa product zako
  4. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Business plan itumie tu kama roadmap
  5. J

    Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

    Wana jf pia Crdb bank wanatoa mikopo kwa wajasiliamali wote wenye biashara
  6. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    habari wanajf, Business plan inasaidia kukuongoza katika kuendesha biashara yako na kuweka malengo yako kama ulivyopanga, Ndugu kama unahitaji plan yako kuhakikiwa, tafadhari unaweza kuwasiliana na mimi kwa 0713659828 Karibu sana
  7. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    habari..... Hongereni sana kwa kuendelea kuelimishana kuhusu biashara na mambo mbalimbali ya kiuchumi! Nashauri kuwa,biashara yako lazima iwe na malengo!
  8. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    habari mwanajf: natumai harakati za biashara na michakato mbalimbali inaendelea vizuri! Je,umeshapata wazo la biashara na unahitaji kuliweka katika maandishi? Basi haujachelewa sana kwani muda ndio huu! Anza kuandaa business plan yako sasa na kama kuna sehemu utakwama basi usisite kuniuliza ili...
  9. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    unapotaka kuanzisha biashara, lazime ujue ni nani atakuwa mteja wako! Hii itakusaidia kupanga mikakati itakayokuwezesha kuuza,kusambaza na jinsi wateja wako watavyokufikia. Pia hii itakupa uhakika wa uzalishaji kulingana na mahitaji ya wateja wako! Unapoandaa marketing strategy,basi huna budi...
  10. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Habari.....mkuu,bsn planning lazima ikupe bsn plan! Na sio kweli kabisa kuandaa bsn plan ni kupoteza muda! Ndio maana katika plan huwa tunafanya projections, naelewa sana time value of money principle! Kumbuka pia sifa ya objectives lazima ziwe SMART.Rejea na ukumbuke,kazi za cash flow, balance...
  11. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Business plan ni kitu kizuri kama jina linavoonesha......a plan...yani mpango au mpangilio wa biashara! Naomba niweke wazi hapa ndugu zangu....kuna bankable business plan ambayo ni kwa ajiri ya kuomba mkopo au plan kwa matumizi au mwongozo wako! Tunashauri ili biashara iwe endelevu ni lazima iwe...
  12. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Hilo ni wazo zuri sana ndugu yangu! Mtaji wa kwanza katika biashara huwa ni wazo la biashara,kikubwa ni kulitoa hilo wazo na kuliweka katika maandishi kisha katika mazingira halisi yaani unaanza kulifanyia kwa vitendo! Ukiwa na wazo zuri na ukaweza kuonyesha ni jinsi gani utaingiza na kutoa hela...
  13. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Habari...... Naomba nikukumbushe,...ujuzi hauna mpaka!kikubwa ni kuelewa matarajio yako na unahitaji nini kwa wakati gani. Hiyo miaka ni ya utu uzima na ni namba tu. Nakuomba ujifunze
  14. J

    Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

    Katika kuandaa business plan,hakikisha unajua gharama za uendeshaji na uwekezaji, pia tambua vyanzo vya mapato yako! Hakikisha mapato yanazidi gharama!
Back
Top Bottom