Kesho tarehe 2 mwezi wa 4 Ofa itaendelea kwa watu wa dar wa laini mpya hivi basi tukutane ubungo msewe nitakuwa nawasajili hizo laini za voda ambazo zitaungwa na Ofa ya Chuo bila kitambulisho cha chuo
Wale wa dar please unaweza ukanitafuta kwenye namba yangu mapema ili tarehe 7 mwezi 4 niweze kuwasajili hiyo laini mpya ya voda weka oda mapema hii ni fursa ya kipekee sana
Mr Philipo hii ipo tofauti si ile kubadilisha laini za kawaida kuwa za Chuo Bali hii ni kwa laini mpya za voda ambazo zinaungwa na Ofa ya Chuo bila ID ya chuo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.