Hata mimi nashangaa. N. Korea anaandaa silaha kila kukicha huku watu wake wanahangaika. Kila siku vitisho vya silaha kwa Marekani. Anajivunia nini? Na Wtz tunamchekea[emoji15] [emoji15]
Ni kweli mali za Afrika hutamaniwa sana na magharibi. Na sisi kwa kutofikiri tunadhani mkombozi na rafiki wa kweli ni mashariki. Mbaya zaidi tuna na tulikuwa na viongozi wabinafsi kama akina Ghadafi na Mugabe waliojihesabia haki zote kwa nchi zao
Ndugu Mohamed Said, wote uliowataja(waislam) walishiriki vizur kuusaka uhuru wa Tanganyika. Hata mimi niliwahi kusoma kwamba ktk vikao vya hao waasisi jina la TANU lilitungwa na Sykes. Kasoro ni pale unapoonyesha kana kwamba uislam wao ndio uliochangia.Ni kama ungependa taifa lipigie mstari...
Umenikumbusha mbali. Tolbert mwenyewe alikuwa mtawala aliyeigawa nchi yake kwa ndugu,na jamaa: Mawaziri, wakuu mikoa na wilaya. Na huyo Doe alikuwa na ukabila na ushirikina kwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.