Recent content by JOSEPH MALULU

  1. J

    Ndugu wa jackson posolo mwinuka wa mbeya mnatafutwa na jamaa zenu wa kagera

    Mm ni mkaz wa chato ila nafanyia kaz ilima sec.tukuyu mbeya ,ni watoto wa marehemu jackson posolo mwinuka. Kwa anaye wafaham anipm
  2. J

    Mkakati wa kummaliza Askofu Gwajima huu hapa!

    Tatizo ya mitandao ya kijamii wenaoongozwa na hisia ni wengi kuliko hekima na busara.ukwel ni mmoja haugawanyki,tusubil
  3. J

    Audio: Askofu Gwajima awajibu Polisi Kuhusu kuitwa aende kujieleza

    Kwa wakristo kweli wanajua huu ugomvi ni mpango wa shetani kuharibu umoja wetu.lakini ameshindwa
  4. J

    Hali Ya Askofu Gwajima Kwa Sasa

    Endeleeni kutujuza kinachoendelea huko hospital.
  5. J

    Hali Ya Askofu Gwajima Kwa Sasa

    Endeleeni kutujuza kinachoendelea huko ospital.
  6. J

    Gwajima akimbizwa Hospitali Muhimbili usiku huu

    Chanzo cha yote mahakama ya kadhi
  7. J

    WanaJF nisaidieni lugha inayotumika kwenye upigiaji kura katiba mpya

    Kampen nzur ya kizalendo juu ya katba pendekezwa isiyokua ya kisiasa wewe unaona ingekaaje.hii iliyopo inaukakas ki-iman
  8. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ndg.wanajf ni mwl.casmir salum, natafuta mwl.wa sec.kutoka chato,bukombe, mwz,kahama na biharamulo 0767977066,0718977066
  9. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    MM NI MWL. MSINGI NATAFUTA MWL.TUBADILISHANE AJE GEITA - CHATO MIE NIJE RUNGWE AU MBEYA JIJI. josephmalulu400@gmail.com
  10. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    IDARA MSINGI NJOO CHATO-GEITA NIJE MBEYA MJINI.josephmalulu400@gmail.com
  11. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wanajf mm natafuta mwalimu wa kubadilishana aje wilaya ya chato mm nije mbeya mjini.kama upo tuwasiliane kwa0769056633
  12. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nisawa tu , nipemawasiliano kwa namba 0769056633
  13. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta mwalimu wa msingi wa kubadilishana nae aje geita -chato mm nije rungwe.sababu niwe karibu na familia.0769056633
  14. J

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Vifurushi vya vodacom vinatakakuwa kama escrow.wananchi wa hali ya chini mnatuumiza,sms nying za nini, mnakera ila bac
  15. J

    Tangazo la king'amuzi cha Continental linanichefua

    Continental is very smart. Wenye vichefuchefu na matangazo dawa yao wapate continental. Ua ni wafuasi wa vilivyododa.
Back
Top Bottom