“Ukitaka vitu vya thamani vije kwenye maisha yako hakikisha umeyapa uthamani pia maisha yako, hakikisha una kitu cha thamani ndani yako(una TALANTA, KIPAJI au UJUZI fulani), hauwezi kupata ajira ya mamilioni ya fedha kama hauna ujuzi fulani, uwezo fulani au kipaji fulani kinachojiuza kisoko...
WATU HAWAKUFUATI WEWE WANAFUATA ULICHOKIBEBA
Wakati naanza huduma ya mitandao niliandika Ujumbe mmoja tu nilipouweka kwenye mtandao nilishangaa sana ujumbe kupata likes kama elfu moja na comments kama mia nne hivi
[emoji117]Kilichonishangaza sana ni kuona likes na comments nyingi ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.