Recent content by Joseph Carlo

  1. Joseph Carlo

    Dewji: Hakuna Kitu kinaua Urafiki kama Mikopo!!

    wakopaji wana gia mpya utasikia una laki mbili hapo niazime baada ya siku mbili narudisha laki mbili na nusu mpe sasa imetoka hiyo nilishapigwa kwa staili hii aisee!
  2. Joseph Carlo

    Tusio na Ajira / Kazi yawezekana hii ikawa ni mbinu sahihi sana ya Kujipatia Pesa ya Mtaji wa Kuanzishia Biashara / Mradi

    kuna jamaa yangu aliposikia wanagawa milioni akasema bora angekuwepo kwenye hiyo ajari yani maisha yamekuwa magumu kiasi hiki hadi tunaombea vifo duh
  3. Joseph Carlo

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Mayala nilikuheshimu kwa habari zako sasa naanza kuamini wewe ni mwanahabari njaa, ungetuambatanishia na vyeti ndio upayuke cheeeeefuuuuuuuuuuuuuuu!
Back
Top Bottom