Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Toyota ni kipando mkuu magari yanajulikanaDuh kumbe umeandika 160 nilijua 260, ah usifanye hivyo siku nyingine utakufaa, Toyota sio gari ni usafiri tu wa kawaida, usicheze nao barabarani
Toyota ni kipando mkuu magari yanajulikanaDuh kumbe umeandika 160 nilijua 260, ah usifanye hivyo siku nyingine utakufaa, Toyota sio gari ni usafiri tu wa kawaida, usicheze nao barabarani
Ingia kwny mtandao km Be Forward then tafuta Volkswagen golf touran, Bei zake za kawaida sana, hata ushuru ni tofauti na gari za Japan, ingawa hizi nazo zinatoka Japan.
Hutajutia kununua hii gari mkuu.
Pia spare zake siku hizi zipo kila mahali.
Fuel consumption ni kawaida sana maana nyingi ni cc 1800-2000!
Mkuu dah mie utaniua kwa impreza hatchback release 2007 3rd generationMe impreza sijawahi kuzipenda..ugonjwa wangu ni foresta na legacy..both with turbo.. Nikionaga ambazo hazina kipua naona ni toyota tu..
Shikamoo...Hahaha mkuu mbona yangu ni speed 300km/h na nipo Salama, the highest speed Nimewahi kuendesha ni 270km/h ingawa Nina mpango nimalize zote 300 siku moja.
300 ni speed ya ndege wakati Wa ku-take off!
Ebu pitieni link kadhaa YouTube huko muone Head to Head ya Subaru na Vokswagen...
Niweka hizi link mbili kuona AWD ya Subaru na VW zinapojaribiwa na engeneers... Ukifika kwenye hizo ukamaliza anza kuangalia na chanel nyingine battle hata ya power kati ya forester na VW touran nk nk
Subaru Rough Road
Kwenye Ice
Rami
VW kimbilia kwenye Rami tu huko ukikutana na Tope la maana AWD yake utamuita Subaru kwa msaada
yuo saidKutembea speed kubwa ni utashi wa dereva tu
Umenikumbushaa Golf yangu ...ila kwenye speed haya majamaa kibokoo tatizo kubwa ambalo limenitesa ni mafundi wake kuwa adimu ...Kuna mjinga mmoja nipo safarini naenda mbeya yupo na crown tena km mpya maana Niliona number ni t...DL..., tumefika Iyovi akataka kushindana na mm Niko na Volkswagen golf....
Sikumtangulia nilimuacha amalize speed zote.....hata km 20 hakufika akasikia engine inapiga kelele..ikawa Ndio mwisho wa gari yake...
Na Hapo mm naenda nae mm nimefika 190 wakati uwezo wa gari yangu ni 300km/h
Toyota ni uchafu, Hakuna gari mle
Hopefully umejiandaa ipasavyo kwny maintainance cost ex. air suspension etcBaada ya kutumia klugger kwa muda gari yangu ijayo itakuwa Land rover discovery 4
Sijaona watu wakisema hapa lakini ile ni dream car yangu kabisaaa
Zipo mkuu toyota
Unaziitaje hizi mkuu?
Asante kwa uchambuzi muruwaMkuu dah mie utaniua kwa impreza hatchback release 2007 3rd generation
Napenda nyuma inavofanana na harrier Lexus.
Alafu huyu ndugu anaependa sana VW na anasifia speed nakumbusha hata Subaru ni zilizotengenezwa kwa soko la Japan tu ndio zina limitation ya 180km/hr
Ila forester, Legacy na Impreza nje ya Japan zina speed mpk ya 280km/hr
Kingine uwezi linganisha Vokswagen na Subaru hata VW iwe na speed ya 360km/hr Alafu Subaru ibaki na 180 speed ila tu iwe na Turubo WRX utaona Moto.
Nakupa Challenge moja tu hii, kwanini unadhani Rally (mashindano ya magari) Subaru nyingi zinaingia ila sio VW?
Ushawai kujiuliza hukusu mfumo wa box engene za subaru ambazo nyingi zinaenda kwa AWD/4WD, VW ya kutembelea speed ulaya huko, Subaru Njia zote its for sport
Kwaio ukipenda gari pesa tu lakini kabla hujajua upande wa pili tulia tulii, kasema Subaru ni za vijana wahuni kelele nyingi doh hivi kila Subaru ina Muffler?
SUBARU IS THE BEST KWA SPEED japo sikati kuwa VW pia ni bora. Kwanza muonekano wa hv VW mie siupendi ati!View attachment 710786
ndege gani!! ?? hiyo gari uliofikisha nayo 270 ni ipi specs zake cc nkNilifika siku moja 160 na kibiriti changu nikaogopa sana pamoja na kwamba sikuona shida kwenye gari
Acha kichaaandege gani!! ?? hiyo gari uliofikisha nayo 270 ni ipi specs zake cc nk
Speed 300 kwa barabara ipi hapa bongoKuna mjinga mmoja nipo safarini naenda mbeya yupo na crown tena km mpya maana Niliona number ni t...DL..., tumefika Iyovi akataka kushindana na mm Niko na Volkswagen golf....
Sikumtangulia nilimuacha amalize speed zote.....hata km 20 hakufika akasikia engine inapiga kelele..ikawa Ndio mwisho wa gari yake...
Na Hapo mm naenda nae mm nimefika 190 wakati uwezo wa gari yangu ni 300km/h
Toyota ni uchafu, Hakuna gari mle