jamani mbona mnatangaza ajira kwa masomo hayo tu,hata mimi natafuta kazi niko bado chuo Dar es salaam ila naweza kufanya kazi,kwa maani niko semista ya mwisho,masomo yangu ya kufundishia ni Geography/ECONOMICS, nisaidieni.my no. 0759160780
Naomba kuchukua nafasi kwa kusema kwamba kulingana na vyuo tunavyotoka kusema kweli kuna vyuo vina elimu ngumu,USHAURI ni kwamba kwa yule aneona hana msuli wa kutosha aombe kuelekezwa asije ishia kutemwa na chuo,make kuna vyuo havielewi maana y DISCONTINUE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.