Recent content by Joseeleunyo

  1. J

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime adaiwa kubaka na kumlawiti binti wa miaka 16

    Kama ni kweli ni serious. Ila, kwa local government politics. Inawezekana ni MTU anamharibia ili achukue kiti
  2. J

    Wasanii wa Bongo wamtelekeza Idris, hakuna aliyeenda kumwangalia wala kumpost

    Huyu kijana apambane na hali take ni mpuuzi sana
  3. J

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Ili iweje?
  4. J

    Wazee wa Dar es Salaam ni akina nani?

    Wazee waabdamizi was ccm Viongozi was dini Viongozi wa mitaa Wazee wenye biashara kubwa
  5. J

    Rais Magufuli amedanganywa kuhusu kupima papai, fenesi, mbuzi nk

    Nimesikia kuna time inachunguza maabara kuhusu zoezi zima LA upimaji... Tuwape muda
  6. J

    Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

    Taratibu nzuri za kimaabara za ku- confirm results za maabara no kuvhukua retained sample na ku-test kwenye maabara nyingine
  7. J

    GE2020 James Mbatia the next KUB Can make the Best than ever before

    Mbatia no opportunist no one. Hafai
  8. J

    Mheshimiwa Rais Magufuli, naomba utangaze Kuzuia safari za Mkoa Kwa Mkoa isipokuwa kwa kibali

    Mpaka MTU anaamua kusafiri na kutumia fedha sake in muhimu
  9. J

    Mbunge wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (CHADEMA) kuhamia NCCR-Mageuzi

    This was expected! Lazima angeenda kwa " Mama Filomena"
  10. J

    Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

    Kwa mwanasiasa timing no kitu muhimu sana kwenye maamuzi. Dr Mashinji angefanya maamuzi haya akiwa madarakani Chadema yangekuwa na maana sana. Leo ni sawa na MTU mwingine yeyote mtaani kujiunga na CCM
  11. J

    Ripoti UNDP 2019: Maendeleo ya Watanzania yamerudi nyuma kwa 25%

    Hajui kwamba nchi hii in donor country
  12. J

    Shoo ya Kanali Kinana ndio fungakazi

    bigmukolo, Kujivua uanchama kwa Kinana kama in kweli hapatakuwa na impact saana, Bali kwa magazeti front pages. Mpaka sasa uhusiano wake na chama chake in hostile.
  13. J

    Kauli ya Hussein Bashe, "Kama huwezi kununua unga nunua mchele" Vs "If there is no bread let them eat cake"

    Madaraka in ulevi mkubwa sana, is this Hussein we all know
  14. J

    Meya wa jiji la Dar, Isaya Mwita ashindwa kuingia ofisini kwake baada ya kubadilishiwa nywila ya mlango

    Sexer, Wee nenda mahakamani acha kucheza mchezo was paka na panya
Back
Top Bottom