Recent content by JOSE MOURHNO

  1. J

    ALIKO DANGOTE kuigeuza CCM kuwa kampuni la kibiashara

    10% ya serikali au ya ccm? mbona tunaongozwa na VIBAKA, wanyang'anyi na walafi wasiokuwa na chembe hata kidogo ya UTU. Hiyo 10% si ingekuwa basi ya serikali ili hata cc walalahoi wa huku Magharibi tuweze kujengewa hata barabara make vumbi lilivyo jekundu mmmmh? lakini powa tu matabaka ya wenye...
  2. J

    Tunahofia nini kurudia uchaguzi wa mabaraza?

    Mimi ni mwanaccm halisi, hofu iliopo ni kwamba ccm tunaweza tusipate wawakilishi wengi kama mwanzo na hili linaweza kuwa pigo kwetu na kushindwa kupitisha mambo yetu kwani sasa hivi watu walishagundua kosa walolifanya. Nafikiri mmeelewa ahsante!
  3. J

    Mwigulu: Nilikuwa safari kikazi kwa siku 12, nimerejea

    Karibu na uteletee taarifa ya huko mbinguni; maana tulisikia kuwa ulikuwa umeenda kutoa ushahidi huko. Tupe yaliyojili?
  4. J

    Matokeo Kidato IV: Utata mtupu!

    ishakuwa sooooooooo? kumbe Watnzania wa leo wana akili hivi?
  5. J

    Dr Slaa akataa mjadala na Nape ITV badala na Kinana

    sikumaliza kusoma maana naona upeo wako ni mdogo sana na huenda una akili ndogo ya kusahau kama kuku, uwezo wa Dr. uko juu sana kuliko hata yule dr fast jet kumbuka alivyomshushua pindi cha mdahalo wa uchaguzi uliopita, na pia kumbuka huyu nepi ni mtu hatari huenda akawa na kichwa cha mtu...
  6. J

    Umeishia wapi mchakato wa vitambulisho vya taifa?

    pesa ziliisha ndo maana mchakato wote ukaimama; sasa unahoji hujui nini?
  7. J

    Magufuli: Maamuzi magumu yaweza kutolewa na vibaka, Kikwete hutoa maamuzi makini!

    We naye Zoba kweli! Unaambiwa Lowassa ndiye muasisi wa maneno " MAAMUZI MAGUMU" then unasema CHADEMA wanakurupuka; sasa kwa taarifa yako kule CHADEMA kuna kitu kinaitwa "NO RESEARH NO RIGHT TO TALK" these people knows things in facts not likes Nchemba ambaye alikurupuka na kesi ya UGAIDI na...
  8. J

    Hamad Rashid: Wabunge wa upinzani wamekosa nidhamu na umoja

    Huyu jamaa mbona siku hizi kauli zake zimekuwa nyepesi sana au imekuwaje wada? najaribu kumfananisha na mwenzetu kule Zenji (sawasawaaaaaaaaaa ........... sawasawaaaa) maneno haya kwenye mabano hususani pindi alipokuwa akitoa hotuba hatuyasikii tena. Au kwa kuwa kakaribishwa jikoni...
  9. J

    Heche atafuta umaarufu msibani

    Vipi kuhusu watoto wa Lwakatare wamekula nini; sisiemu wanaweza wakajiuliza swali kama hilo kweli????????? so long as Ugaid wa kamanda Lwakatare wanahusika? Mwangosi walimuua akina Lukovu!!
  10. J

    Lilikuwa Wazo la Nani kumshtaki Lwakatare kwa makosa ya Ugaidi?

    sisiemu; hakuna zaidi na hilo liko wazi
  11. J

    'Je tutafika' Kipindi cha TV: USA wanahusika na mabomu ya Arusha

    Always let people advise you but never ever let them decide up on you!!
  12. J

    CHADEMA wakishika madaraka yafuatayo yatatokea

    Wadau naunga mkono; lakini pia naongeza. Historia itasomeka hivi: 1. Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na si Kenya 2. Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na si Tanganyika na Zimbabwe 3.Ikulu itabakia pale maeneo ya Kivukoni na si Uwanja wa ndege 4. Polisi watakuwa watumishi wa umma na...
  13. J

    Orodha ya Majimbo yaliyochukuliwa na CCM ki-mabavu uchaguzi mkuu 2010

    Kweli kabisa yule jamaa alionja asali na hakutaka ; maana kwa Takwimu hizi lazima CHADEMA ingeshinda CCM KURA - 28000 CHADEMA - 27000 CUF - 7000 Rounded off figure; Ila kule bado ni ngome ya CDM subili 2015 mtaona, kuna makamanda Heche, Mwikwabe nina uhakika mmoja atachukuwa jimbo...
  14. J

    VIDEO: CCM wananitishia maisha - Rev. Munishi

    Chemba la choo akiiona hii tena, dili kwake! jamaa anaweza akafichwa ile mbaya!
  15. J

    Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

    Hakuna jinsi huo ndo mpango mzima, karibu!
Back
Top Bottom