Baba yake kapombe ni mwislam safi sana ila mama yake ni mkristo shomari hajabadili dini tangu zamani alikuwa anasali St Thomas morogoro shomari ni hajawai kuwa mwislam
Mimi mwenyewe nilipenda mbowe aachie kiti lakini nilipoangalia kwa undani na kuchanganua baadhi ya vitu zaidi mbowe anatumia akili sana kwenye uongozi tena kwenye awamu hii ya magufuli ndo maana hata Leo hali hipo hivi bila mbowe kutumia busara damu ingemwagika nyingi sana mbowe aendelee kwa...
Kimaitaifa kutamka kwake si vizuri kwa ustawi wa taifa itaonyesha nchi yetu usalama hakuna na ni hatari Sana Kwa afya ya utalii nchini inapaswa serikali itoe mapendekezo juu ya usalama wake ili koundoa hiyo dhana kimaitaifa. Mnaeweza kuona hakuna athari kwa macho ya kawaida ya kisiasa lakini...
Mimi sio mgeni na mnunuzi aliwai kununua kivuko flani pale kigamboni nacho kilikuwa kibovu hivyo shishangai sana hata hi inawezekana ni ikawa Kama kile kivuko
labda ngoja nikueleze kwa kifupi vingine unaweza kutafuta mwenyewe ukapata majibu kwa kifupi Tanzania mwezi oktoba ndo mwezi rajisi kwa mambo hasa ya kiungozi ntakupa mfano mdogo nyerere alitumia mwenge kutawala na kiongozi wa Sasa kwenye jina lake Kuna alama ya mwenge ,uchaguzi oktoba,kifo Cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.