Hakuna mtu ananyanyasika kama mchimbaji mdogo Tanzania
Mchimbaji mdogo Tanzania anatozwa kodi ya asilimia 49.3 toka uzalishaji duarani hadi kuuza dhahabu,
Asilimia 30 ya mwenye leseni
Asilimia 7 ya madini
Aslimia 3 ya halmashauri
Hapo ni kabla hata Dhahabu haijapatikana!
Ikishapatikana...
Ni bora ingelikuwa unauecheza ndiyo unaki-control hicho ki denge lakini sasa hivi una bonyeza batani unasubiri miujiza ya eti kipae
Kati ya ujinga ni hii kitu inaitwa aviator !
Hilo walilopita ni lile la dharura mzee ambalo linatumika kupitishia malighafi za ujenzi wa hilo daraja
Lakini vilevile magari ya serikali na viongozi siku hizi hawatumii vivuko huwa wanapita tu hapo sizani kama linaweza kupitisha magari mazito then liwe threat kwa waenda kwa miguu!
Match nyingi za Afrika hazina statistics na information kamili
Kwenye accuracy Hakuna app inayoweza kuifikia Sofascore kama una beti statistical results kama ball possession, foul,, corner, shots, offside utanielewa!
Trump kila anayeenda against naye tishio ni kuongeza tu ushuru,hivi bila kuuza Marekani uchumi wa nchi hauwezi kwenda?!
Latin Amerika, Afrika, Asia, Ulaya na Australlia huko hakuna masoko?!
Acha kumsingizia Magufuli!
Ni magufuli pekee ndiyo aliifufua Geita, toka enzi za uhuru Geita hakuwa na barabara ya lami ya mtaa hata moja hadi kipindi cha JPM
Ni sawa alipendelea Chato lakini aliikumbuka Geita kuliko awamu zote zilizowahi kupita wala iliyopo
Na angemaliza miaka yake hata hili...
Hii nchi mzee kuna watu wakiwa maofisini kwenye vile viti vya kuzunguka kila wanalofikiria huwa wanaona ni jambo njema tu!
Kati ya maamuzi ya kijinga yaliyopewa baraka na Siri-kali ni haya ya mhuri wa mwanasheria!
Kamari kama betting siyo shida, shida ni hivi vigorogoro vya wachina,
Kampuni za betting nazo zimeona ziongeze mapato zikaleta vimichezo vya kurusha kidenge ili zivune zaidi
Kwa kusema hivyo naungana na Dr Kingwangala!
Kwani ni mkoa gani ambao hawajengi barabara za mtaa?!
Mkoa gani ambao hawajengi hospitali na vituo vya afya?!
Mkoa gani ambao hawajengi shule?!
Mkoa gani ambao hawana miradi ya maji?!
Mkoa gani ambao hauna miradi ya umeme?!
Acha kumpa sifa bure Mwanza ni jiji lililotengwa na awamu ya sita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.