Recent content by Jordan Peterson

  1. Jordan Peterson

    Rais anavyotembea na walinzi waliobeba mitutu anaonesha nini wananchi?

    Kiongozi tuliyenaye sasa hivi hakuchaguliwa na wananchi bali ameingia kwenye nafasi ya urais kama replacement. Hiyo ni sababu tosha ya kuongeza ulinzi. Bado, ukilinganisha hali ya kiuchumi na kisiasa kwa sasa nchini ni wazi Rais ameongeza maadui wengi zaidi kuliko kipindi ameingia madarakani au...
  2. Jordan Peterson

    Rais anavyotembea na walinzi waliobeba mitutu anaonesha nini wananchi?

    Na hiyo ndio maana ya mimi kutumia neno "Very Advanced." Je unadhani sisi tupo Advanced vya kutosha kwenye sector ya usalama wa Kitaifa ukilinganisha na Marekani?
  3. Jordan Peterson

    Rais anavyotembea na walinzi waliobeba mitutu anaonesha nini wananchi?

    Huo ulinzi uliouna bado hautoshi. Rais ni taasisi sio mtu mmoja, ni uso wa Nchi. Kwa wenzetu kwakua wapo very advanced kwenye sector ya ulinzi sometimes inakuwa ngumu kuona idadi yao kamili. Lakini kuna uwezekano walinzi wapo kila sehemu na wengine huwezi kuwadhania. Dunia sio pepo na hata iweje...
  4. Jordan Peterson

    Maelfu ya wanamgambo wa Boko Haram wajisalimisha Nigeria

    Hawa watu kujisalimisha ni labda kwa sababu wana agenda yao maalum au hii ni dalili tosha kwamba dunia inakaribia mwisho. We better brace for impact.
  5. Jordan Peterson

    Kwanini ni ngumu kuamua kutokuwa na mtoto Afrika?

    Hapana sijamaanisha hivyo, hiyo ni only applicable kwa wenye uwezo wa kupata watoto. Watu wasio na uwezo wa kupata watoto haimaanishi hawataki watoto, wanataka kupata watoto but there's no other way around.
  6. Jordan Peterson

    Kwanini ni ngumu kuamua kutokuwa na mtoto Afrika?

    Kama mnaona alafu hamtaki watoto then kwanini muoane? Si muishi tu kama girlfriend na boyfriend ambapo main goal itakuwa ni sex then at the end everbody dies alone which sounds nonsense to me. Naturally marriage is all about family and by family I meant having kids.
  7. Jordan Peterson

    Dangote kampuni

    Hao ni scammers ambapo baadae watakwambia uingize passwords za card zako then finally utakuwa umetapeliwa technologically.
  8. Jordan Peterson

    Covid-19 ipo, tuhamasishane kila mtaa kuanza mazoezi ya kutembea angalau kilomita 1 kila Jumamosi

    Kutokana na harakati za maisha ya kila siku bila shaka watu wanatembea zaidi ya km1 kila siku. Hivyo hiyo ya kutembea km1 kila jumamosi itakuwa njia nzuri ya kusambaza ugonjwa ukichangia mtakuwa mkitembea pamoja kwa karibu which is highly unsafe.
Back
Top Bottom