Recent content by Jordan jacob

  1. Jordan jacob

    Naombeni msaada wa haraka

    Nina gari aina ya Toyota dyna ton 3,tatizo lake nikwamba nikiwasha tu ,ninapokanyaga mafuta maajia yanapulizwa kuja juu kwenye rejeta,nimebadili head gasket,nimesafisha rejeta lakin bado,na haichemshi,.
  2. Jordan jacob

    Tuelekezane kuhusu swala hili

    Je kwa upande wa pulling ikoje,maana nataka nifunge kwenye ton 3 na nusu,huku Moro mkuyuni kuna vilima hatari
  3. Jordan jacob

    Tuelekezane kuhusu swala hili

    Nilibadilisha block na piston
  4. Jordan jacob

    Tuelekezane kuhusu swala hili

    Gari yangu aina ya Toyota Dyna Ton 3 na nusu ,ilikuwa na engine ya 13B,ikapasua block piston zikatokea mbavuni,nime overhaul lakin inanizingua ,ila kuna sehemu nimepata engine ya 3B NEW ,je itafaa ukilinganisha na 13B,kwa anaefaham kuhusu 3B tujuzane
  5. Jordan jacob

    Tecno 7C

    Nahtaji Ku upgrade simu yangu kitoka android 5.0 lollipop kwenda 5.1 lakn system update inasema is the latest vision, naweza kutumia njia gani nyingine?
  6. Jordan jacob

    Toyota hilux 2.8 vs hiluxD4D

    Kwa anaefahamu hilux 2.8 na D4D kwa ubora tutaalifiane
  7. Jordan jacob

    Moshi wa blue asubuhi

    Habari zenu wadau nina gari yangu Toyota dayna ina engine 13B(diesel)huwa inatoa moshi wa blue asubuhi na ikitembea unakata ila ikisimama tena kipindi ipo idling unauona kwa mbali,nn tatzo wakuu
  8. Jordan jacob

    Mambo yetu

    Natafta mchumba wa kike
  9. Jordan jacob

    Hili nalo vipi

    Wakubwa hili tatizo la mtu kupiga bao la kwanza then mashine ina doro kwa mda wa takriban 40 minutes solution ni nini?
  10. Jordan jacob

    Naombeni msaada wakuu

    Kwa anaejua kazi ya hizi dawa ziitwazo neurobine fort na kaz zake
  11. Jordan jacob

    Toyota dyna

    Je naweza tumia STP ili niongeze viscosity?
  12. Jordan jacob

    Toyota dyna

    Hapana kwenye gap sina shaka hazikukaa line moja
  13. Jordan jacob

    Oil additives

    Je ni muhimu kwa gari inayokula oil baada ya muda Fulani kuwekewa STP,na je inasaidia kukata tatizo la kula oil kwa gari iliyofungwa ring mpya?msaada wenu wakuu
  14. Jordan jacob

    Toyota dyna

    Iko hivi baada ya kufunga ring piston mpya,pamoja na piston gari ilikaa silence kwa muda wa saa moja,ndipo nilipogundua kuwa oil ina bleez kwenye intake manifold inapounga hors ya air cleaner. Je naweza kutumia STP ili itengeneze seal between cylinders and piston ili iache ako kamchezo?
Back
Top Bottom