Kituo cha i.t.v ktk taarifa za habari wana mtindo wa ku pitisha maneno ya habari zilizomo, usiku huu nimeshangaa habari ya kuhusu kesi ya lema na mulongo imeyeyukia hewani bila kurushwa. .sitaki kuamini i.t.v nao wanatumikia serikali na ccm kama tbc. Ila nina imani kuna mtu kapigiwa simu akipewa...
Nimechaguliwa hii programe ila cjui chochote na prospectus ya udom inazingua. Naomba ufafanuzi kuhusu bcom in finance course gani ziko ndani yake, soko la udom kwenye hii programe na ukimaliza unaweza fanya kazi gani. Ahsante.
Bro ritz Watoto wa mwalimu nyerere na bibi yetu vipi MKILA NATIONAL CAKE mnawagawia ? ? ? Na nyie wana jamvi je . .? Baba kama nyerere na baba kama kikwete yupi bora?
Tcu deadline imepita alafu kwenye vyuo walivyoeka watu wafanye transfer ni aidha chuo kibaya au kozi mbaya infact nataka kusomea dar kwani mkoani nkikosa loan cjui itakuaje. .n what if cna ile point 0.5 ya gs tunaweza negotiate?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.