Dahhh!!! Wakuu majibu na vihoja vyenu ni kama mleta Mada kaulza watu waliolukwa akili tayali 😂😂😂 au mimi ndio nimelukwa sizielewi hoja zenu make nacheka kwa sauti kila nachokisoma hapa kama chizi 🤣🤣
We kima vijana gani uliowauliza? Wadogo zako nyumbani au?
Hivi mbona mwaka huu inaonekana maccm hamtaki kujionesha waziwazi yaani mnakuwa mazezeta Kama vile mmeazimisha akili kwa watu wengine mkabaki makopo tu kichwani🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.