Siku ukijua kwa nini Africa ilitawaliwa kirahisi na kuwa enslaved hutowaza mara mbili.. Ngozi nyeusi sisi tunapungukiwa sifa za binadamu kamili mwenye utashi
Kila siku nasikia viongozi wanapongezana wanafanya kazi nzuri sana sasa iweje hawapende katiba mpya? mtu kama ni mwema hana haja ya kuwa na hofu na sheria kali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.