Recent content by Jopaki

  1. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Maneno haya ya Rais Samia yamenibubujisha Machozi ya furaha kuwahi kutokea

    Bado kidogo tuu uchumi wetu utalingana na China..
  2. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Wenza nao kulipwa mamilioni halikubaliki viongozi muogopeni Mungu

    Waafrika sisi ni watu wa hovyo sana na tumethibitisha hilo mara nyingi sana..
  3. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Mshikaji wangu anatembea na ex wangu

    Mama yangu aliwahi kunishauri vitu ambavyo huna matumizi navyo tena wape wenye mahitaji...
  4. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko amesema kuwa serikali haiwezi kusema ni lini mgawo wa umeme utakwisha

    Wewe ni mzalendo wa viongozi sio mzalendo wa nchi
  5. Jopaki

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nabii Sanga: Mgawanyiko mkubwa utaikumba CCM mwaka 2024 na 2025, tuiombee

    Kuna tofauti ya Mungu na MUNGU wewe unasemea yupi?
  6. Jopaki

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Aibu vyama mamluki kugomea Maandamano wakati wapo CCM waungao mkono

    Siku ukijua kwa nini Africa ilitawaliwa kirahisi na kuwa enslaved hutowaza mara mbili.. Ngozi nyeusi sisi tunapungukiwa sifa za binadamu kamili mwenye utashi
  7. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Nashauri nafasi ya Urais tumpe Mzungu ili atuletee maendeleo

    Umewaza kama mimi
  8. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dr Slaa ana chuki kubwa sana na Rais Samia?

    Unajibu kama vile umekatika kichwa... hoja za msingi unajibu taarabu...
  9. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa Mwenyekiti wa chipukizi wa CCM Taifa kujieleza ni mkubwa kuwashinda vijana wengi wa CHADEMA

    Hii pimbi inaandika ugoro muda wote
  10. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

    Nilikuwa naona kama wanaonewa ila baada ya kuona hii clip ni bora Israel waendelee kugeuza Gaza yote kuwa vifusi tuu..
  11. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Shaka Hamdu Shaka ana hatari huyo

    Joho wa Mombasa anahusikaje tena hapo mkuu?
  12. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Profesa Mukandala: Siyo watu wote wanataka katiba mpya, wengine wanaitaka hii iliyopo ila ifanyiwe marekebisho kidogo

    Kila siku nasikia viongozi wanapongezana wanafanya kazi nzuri sana sasa iweje hawapende katiba mpya? mtu kama ni mwema hana haja ya kuwa na hofu na sheria kali
  13. Jopaki

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu anakwenda kuzoa kura zote uchaguzi ujao

    Mama hana shida ila akamate majizi wanaokula hela za umma na kuweka katiba nzuri tuu
Back
Top Bottom