AFRIKAMOJA
Member
- Aug 11, 2022
- 30
- 37
Ziara za mwenezi Shaka zinakuwa za moto sana maana anaeleza kazi kubwa anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan kwa wananchi.
Anasikiliza kero na kuhakikisha wahusika wanatoa majibu halisia...wakibabaisha chama kinatoa mwelekeo au ushauri kwa serikali...balaa zaidi anajishusha na kujichanganya na wananchi wa kawaida kabisa hii ni siasa kubwa sana.
Hakika haya yote yanakipa Chama cha Mapinduzi hamasa kubwa kwa umma na kuwapa wananchi matumaini na imani zaidi kwa chama na serikali yao...piga kazi mwenezi wetu kwani huo ndio uenezi.
Anasikiliza kero na kuhakikisha wahusika wanatoa majibu halisia...wakibabaisha chama kinatoa mwelekeo au ushauri kwa serikali...balaa zaidi anajishusha na kujichanganya na wananchi wa kawaida kabisa hii ni siasa kubwa sana.
Hakika haya yote yanakipa Chama cha Mapinduzi hamasa kubwa kwa umma na kuwapa wananchi matumaini na imani zaidi kwa chama na serikali yao...piga kazi mwenezi wetu kwani huo ndio uenezi.