Recent content by jong afrikaanse

  1. jong afrikaanse

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arteta ni mpubavu sana. Amefungwa hii match kwa kujitakia. You can not experiment on your team selection on the day of a big occasion.
  2. jong afrikaanse

    Mungu alisema Binadamu hawezi kumuona na akaishi ili hali Musa aliongea nae uso kwa uso je nani mkweli?

    Unataka nikupe mfano gani sasa, kwani hujui kuwa watakatifu huongea na Mungu wao kupitia sala kisha ulimwengu wa roho hufunguka na kuingia uweponi mwake (mfalme Daudi anapaita sirini ktk Zab 91 na Yesu Kristo alitoa code ya kuufungua ulimwengu huo ktk Math 6). Tena watakatifu husemezana na Mungu...
  3. jong afrikaanse

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Pole chawa, mwenzio sijalelewa malezi ya kuunyenyekea uovu. BTW Mtu anayekosa adabu kwenye uovu ni mtu mwema. Anayenyekea uovu ni useless person and that defines you well.
  4. jong afrikaanse

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Pole sana chawa, sio kila mtu ni kama chawa Mwamposa. Huyo Sa100 akitaka huko kunyenyekewa aende huko kwa misukule yake akina Mwamposa ambako atapewa mpaka sehemu ya kuweka podium na airtime ya kuongea mipasho yake.
  5. jong afrikaanse

    Mungu alisema Binadamu hawezi kumuona na akaishi ili hali Musa aliongea nae uso kwa uso je nani mkweli?

    Kwa mfano mdogo tu. Nimekaa mahali ukawa unakuja kwa nyuma kunisuprise, ukaniambia nifumbe macho then ukakaa kwa mbele tukaanza kuongea nami nikiwa nimefumba macho. Je hiyo itakuwa sio maongezi ya uso kwa uso?
  6. jong afrikaanse

    Kwenye hili wakristo mna la kujifunza

    Point of correction! Kwa wakristo kinachowagharimu sio ndoa ila ni sherehe za harusi ambazo sio sehemu ya ndoa hata kidogo.
  7. jong afrikaanse

    Masauni awataka wanafunzi kuulinda Muungano

    Hakuna Muungano usiokuwa na usawa, tulichonacho ni parasitic relationship na sio mutual benefiting relationship.
  8. jong afrikaanse

    Speed ya Rais Samia inawatisha wengi, wazungu wamefilisika

    Maneno meeengi, kujaza tu saver. Wenye busara walishasema, "Matendo ya mtu humuelezea vyema kuliko maneno ya wanaomshangilia."
  9. jong afrikaanse

    Kwanini Shia wanapigwa vita sana na Wasunni kama vile sio Waislamu?

    Sasa hapo tofauti ni nini? Mbona wote wanasujudia al-Ḥajar al-Aswad. Wao wamegoma tu kuwa Allah sio wa huyo mtume wa Wassuni hivyo kwao sio kiongozi wao na wako sahii maana hata mtume fake aliupokonya uongozi kwa waabudu Hubal wa kwanza akiwepo baba yake mtume fake Muhammad na kumbadilisha jina...
  10. jong afrikaanse

    Ni nani yuko nyuma ya huu ujinga!?

    Haya majina wanayopewa watoto, inabidi yatazamwe sana. Moja kati ya mji ulipata anguko kubwa ukalaaniwa na ikatangazwa laana pia kwa atakaye ujenga ni Yeriko. Huyu jamaa amepewa jina la sehemu iliyolaaniwa hata sasa na amebeba laana za kufanana na mji huo. In short the guy is cursed from his...
  11. jong afrikaanse

    Muhammad na ukopaji wa maneno ya kiyahudi bila kufahamu maana zake: Chanzo cha contradictions ndani ya uislamu

    Usichokijua ni kuwa Israelites wa kwenye maandiko matakatifu walikimbilia Africa baada ya uvamizi wa Assyria katika nchi yao. Kabla ya Trans Atlantic trade na ukoloni hata wazungu walikuwa wanakubali kuwa Wayahudi wako West Africa na ushahidi uko kwenye ramani zao za Africa za miaka ya 1700s...
  12. jong afrikaanse

    Muhammad na ukopaji wa maneno ya kiyahudi bila kufahamu maana zake: Chanzo cha contradictions ndani ya uislamu

    Naomba aya za Quran zinazoonyesha hiki ulichokiandika kwenye hizo bolded text.
  13. jong afrikaanse

    Mzee tunaemheshimu karopoka matusi mazito kisa mwanae anataka kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Moja kati ya mistakes vijana wa leo wanafanya ni kuamini wana akili kuliko wazee wao. Siku hubadilika ila mambo ni yale yale; hakuna jipya chini ya jua.
  14. jong afrikaanse

    Ndani unapambana na TEC, nje unajipendekeza Vatican. Hizi ni akili ama matope!?

    Pale unapoenda kumuonjesha mtu karanga ili azitupilie mbali jojo zake. Kwa sasa taifa linaongozwa na vilaza wa kiwango cha juu sana. We are being led by imbeciles.
  15. jong afrikaanse

    Hii Nchi kama unaweza kuhama haama. Na kamwe usirudi tena

    Hivi huyu jamaa aliwezaje kupata PHD? Kiukweli ana uwezo mdogo sana wa kuweza kumiliki hata degree tu. Huyu ni Waziri Mkuu kilaza zaidi kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu.
Back
Top Bottom