Japo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way...
It is misappropriation of prayer resource to pray for UTD to get any result that involve point dropping from an opponent under concern (eg. this weak team of hens).
Inasemekana Jurgen anamkimbia ETH pale EPL. ETH ameshamaliza era ya Jurgen kama alivyoahidi. Msimu ujao anaenda kumaliza era ya Pep [emoji23] tena.
BTW nisiwe na sala za kumsumbua Mwenyezi Mungu siku ya J2; ati nimuombe aisaidie Manure izuie hata sare ili tittle race iwe open, maana hii team...
Nyie mnaotuambia ati uchawi haupo nadhani hamjawahi kuushuhudia live. Wacha nikupe story moja ya miaka ya 90 huko nikiwa bado ni mdogo kijijini kwetu.
Nakumbuka kulikuwa na msiba ambapo alifariki Mwanangwa tena ilikuwa kipindi cha masika imepamba moto. Siku ambayo maziko yanafanyika jioni yake...
Kupitia hii comment imenifanya nielewe kuwa huna nia ya kujifunza bali kubishana wakati mini sina muda huo wa kubishana. BTW amini unachoamini maana hata Biblia imetupa hiyari hiyo.
Katika ukristo hakuna muda maalum wa kufunga brother. Pia kufunga sio lazima maana hata Yesu mwenyewe hakuwalazimisha wanafunzi wake kufunga ila aliwapa hiyari ya kufanya hivyo.
Kwa kuwa umetaka kujua acha nikupe maandiko sasa ya namna ya funga ya kikristo. Hii ipo mara 2 kufunga bila kula wala kunywa kwa kipindi chote cha maombi. Inaweza kuwa kwa siku mpaka 3 bila kula wala kunywa chochote.
Exodus 34:28
[28]And he was there with the LORD forty days and forty nights...
Kumbe ni mtu kasema, Biblia haisemi hivyo sasa. Mawazo na maamuzi binafsi ya mtu sio hitimisho la namna funga inatakiwa iwe. Soma na maandiko uone yanasemaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.