Unataka nikupe mfano gani sasa, kwani hujui kuwa watakatifu huongea na Mungu wao kupitia sala kisha ulimwengu wa roho hufunguka na kuingia uweponi mwake (mfalme Daudi anapaita sirini ktk Zab 91 na Yesu Kristo alitoa code ya kuufungua ulimwengu huo ktk Math 6). Tena watakatifu husemezana na Mungu...
Pole chawa, mwenzio sijalelewa malezi ya kuunyenyekea uovu. BTW Mtu anayekosa adabu kwenye uovu ni mtu mwema. Anayenyekea uovu ni useless person and that defines you well.
Pole sana chawa, sio kila mtu ni kama chawa Mwamposa. Huyo Sa100 akitaka huko kunyenyekewa aende huko kwa misukule yake akina Mwamposa ambako atapewa mpaka sehemu ya kuweka podium na airtime ya kuongea mipasho yake.
Kwa mfano mdogo tu. Nimekaa mahali ukawa unakuja kwa nyuma kunisuprise, ukaniambia nifumbe macho then ukakaa kwa mbele tukaanza kuongea nami nikiwa nimefumba macho. Je hiyo itakuwa sio maongezi ya uso kwa uso?
Sasa hapo tofauti ni nini? Mbona wote wanasujudia al-Ḥajar al-Aswad. Wao wamegoma tu kuwa Allah sio wa huyo mtume wa Wassuni hivyo kwao sio kiongozi wao na wako sahii maana hata mtume fake aliupokonya uongozi kwa waabudu Hubal wa kwanza akiwepo baba yake mtume fake Muhammad na kumbadilisha jina...
Haya majina wanayopewa watoto, inabidi yatazamwe sana. Moja kati ya mji ulipata anguko kubwa ukalaaniwa na ikatangazwa laana pia kwa atakaye ujenga ni Yeriko. Huyu jamaa amepewa jina la sehemu iliyolaaniwa hata sasa na amebeba laana za kufanana na mji huo.
In short the guy is cursed from his...
Usichokijua ni kuwa Israelites wa kwenye maandiko matakatifu walikimbilia Africa baada ya uvamizi wa Assyria katika nchi yao.
Kabla ya Trans Atlantic trade na ukoloni hata wazungu walikuwa wanakubali kuwa Wayahudi wako West Africa na ushahidi uko kwenye ramani zao za Africa za miaka ya 1700s...
Moja kati ya mistakes vijana wa leo wanafanya ni kuamini wana akili kuliko wazee wao. Siku hubadilika ila mambo ni yale yale; hakuna jipya chini ya jua.
Pale unapoenda kumuonjesha mtu karanga ili azitupilie mbali jojo zake.
Kwa sasa taifa linaongozwa na vilaza wa kiwango cha juu sana. We are being led by imbeciles.
Hivi huyu jamaa aliwezaje kupata PHD? Kiukweli ana uwezo mdogo sana wa kuweza kumiliki hata degree tu. Huyu ni Waziri Mkuu kilaza zaidi kuwahi kutokea katika historia ya nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.