Recent content by jong afrikaanse

  1. jong afrikaanse

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Japo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way...
  2. jong afrikaanse

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tutadondosha point kama United ni ya Ferguson. Ila kwa Utd hii ya baba ubaya kuna hatihati ya kutangazia ubingwa hapo Old Trafford.
  3. jong afrikaanse

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    It is misappropriation of prayer resource to pray for UTD to get any result that involve point dropping from an opponent under concern (eg. this weak team of hens).
  4. jong afrikaanse

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wonders will never end for sure. With 8 games to go there are some wildebeest still believe their season is yet to start.
  5. jong afrikaanse

    Mwamuzi wa Mechi ya Yanga na Mamelodi awaomba Watanzania waache kumshambulia kwa Matusi kwa kuwa si yeye aliyetoa maamuzi ya Kukataa Goli

    Asee ni ngumu zana kujenga hoja za kumuelewesha MPUMBAVU mwenye confidence kwenye upumbavu wake.
  6. jong afrikaanse

    Mwamuzi wa Mechi ya Yanga na Mamelodi awaomba Watanzania waache kumshambulia kwa Matusi kwa kuwa si yeye aliyetoa maamuzi ya Kukataa Goli

    Ila we mjinga shingo yako ngumu sana asee, yaani mpaka sasa haijachoka kuubeba huo mzigo, hakika inahitaji pongezi.
  7. jong afrikaanse

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kama ukimfunga Liverpool, basi tambua kwa mara nyingine tutatangazia ubingwa Old Trafford.
  8. jong afrikaanse

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Inasemekana Jurgen anamkimbia ETH pale EPL. ETH ameshamaliza era ya Jurgen kama alivyoahidi. Msimu ujao anaenda kumaliza era ya Pep [emoji23] tena. BTW nisiwe na sala za kumsumbua Mwenyezi Mungu siku ya J2; ati nimuombe aisaidie Manure izuie hata sare ili tittle race iwe open, maana hii team...
  9. jong afrikaanse

    Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

    Nyie mnaotuambia ati uchawi haupo nadhani hamjawahi kuushuhudia live. Wacha nikupe story moja ya miaka ya 90 huko nikiwa bado ni mdogo kijijini kwetu. Nakumbuka kulikuwa na msiba ambapo alifariki Mwanangwa tena ilikuwa kipindi cha masika imepamba moto. Siku ambayo maziko yanafanyika jioni yake...
  10. jong afrikaanse

    Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

    Kupitia hii comment imenifanya nielewe kuwa huna nia ya kujifunza bali kubishana wakati mini sina muda huo wa kubishana. BTW amini unachoamini maana hata Biblia imetupa hiyari hiyo.
  11. jong afrikaanse

    Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

    Katika ukristo hakuna muda maalum wa kufunga brother. Pia kufunga sio lazima maana hata Yesu mwenyewe hakuwalazimisha wanafunzi wake kufunga ila aliwapa hiyari ya kufanya hivyo.
  12. jong afrikaanse

    Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

    Kwa kuwa umetaka kujua acha nikupe maandiko sasa ya namna ya funga ya kikristo. Hii ipo mara 2 kufunga bila kula wala kunywa kwa kipindi chote cha maombi. Inaweza kuwa kwa siku mpaka 3 bila kula wala kunywa chochote. Exodus 34:28 [28]And he was there with the LORD forty days and forty nights...
  13. jong afrikaanse

    Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

    Muongozo huu wa funga umeutoa wapi ndugu. Unaweza kunukuu hata andiko moja linaloelekeza aina hii ya funga?
  14. jong afrikaanse

    Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

    Kumbe ni mtu kasema, Biblia haisemi hivyo sasa. Mawazo na maamuzi binafsi ya mtu sio hitimisho la namna funga inatakiwa iwe. Soma na maandiko uone yanasemaje.
Back
Top Bottom