Recent content by jong afrikaanse

  1. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Arsenal Kushinda Ubingwa ni dalili kuwa EPL imeshuka viwango

    Hapa bado hamjasema, mpaka mseme yani. Hii milio ndio tunaitaka sema volume bado iko chini. By tarehe 31 May tutakuwa tumeipandisha to the max.
  2. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Done your proper research?! Kingereza cha ugoko cha Bashite

    Ni kweli usomi sio kujua kiingereza. Ila msomi anajua aongee nini, wakati gani na aongeeje. Kama hujui kiingereza huna haja ya kujiongelesha lugha usioielewa vyema wakati unaweza ukatumia lugha unayoielewa vyema (Kiswahili) ukaeleweka?
  3. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Nilichogundua huyu haelewi kitu kwenye kiarabu, ni mkaririji tu wa quran kama wenzake walio wengi.
  4. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Rudi kwenye thread yako ulioitelekeza na kuikimbia yenye heading "Uislamu ni nini?-Dini ya rehma, Haki na Muongozo wa Maisha" ukajibu hoja kule.
  5. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Kudanganya ili kuitetea imani.
  6. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Je, kushikamana na Sunnah ni Itikadi kali au ndio njia iliyonyooka?

    Huyu jamaa anajitahidi sana kwenye Taqqiya. Anawachota sana wakariri kiarabu cha quran pasipo kuelewa kitu. Hana ubavu wa kujadii hoja nzito na wanaouelewa uislam. Ukimbana kwenye angle anatoka nduki nene.
  7. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Mwenye kelele hapa ni nani? Wewe usiyefahamu kitu ulieambiwa mbinu ya kufahamu usichokifahamu na bado unabishabiana ujinga au mimi niliyekuambia kila kitu cha kufanya ili upate ufahamu wa usichokifahamu? BTW ukitaka kuthibitisha kama mwili una malaria unaenda hospital, maabara kwa ajili ya...
  8. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Imezuka tabia huku mitandaoni, waislam na uislam kudhihakiwa na kutukanwa

    Maandiko matakatifu yanasema mpingeni shetani naye atawakimbia (Yakobo 4:7). Huwezi kumchekeackekea shetani kwa kujifanya ati uko Neutral, atakufanya vibaya; There is YHWH's way or no way, hakunaga alternatives. Brother Isaiah alituhusia hivi " Piga kelele, usiache, Paza sauti yako kama...
  9. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Kama wamezunguka Tanzania nzima wasingekuja na hoja nyepesi namna hii. Waende hapo Bariadi sasa tuone kama kauli zitaendelea kubaki hivi hivi. NB. Hiyo location ni kwa majunior Witches & Wizards kwa ukanda huo. Ila hapohapo panatosha kabisa kujithibitishia namna uchawi unafanya kazi. Muda wa...
  10. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Hawa vijana wanajifanya wajuaji sana. Mimi nasema hivi na aende ikiwezekana aende na cameraman awe afar akirekodi maana hawa vijana si ni macontent creator; ili tuipate hiyo content of proof hapa jukwaani.
  11. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Sheikh Kinyogoli: Tunajukumu kuwapa Elimu Watanzania juu ya Mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Uchunguzi ni kitu kizuri

    Huwezi kushindwa kuelewa swali lile la "Je ni Mungu amewatuma au ni serikali imewatuma." uweze kuelewa report kwa level ya hadi kuwaelewesha wengine. This does not make any sense. BTW huwezi kuwa na akili timamu halafu ukawa follower wa nabii Tito wa uarabuni wa wakati huo (Mudi).
  12. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Team bora ni ile inayobeba mataji mbele ya wapinzani wake na sio vinginevyo.
  13. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Kuprove kupo kwa aina nyingi, binafsi uchawi na namna unavyofanya kazi nimeweza kuprove kwa kujionea mwenyewe on field na sio kusimuliwa. Binafsi nimeshajionea live live na nikikusimulia unaweza kudhani nakupigia story za kusadikika ndio maana nimekuambia ni vyema na wewe ujithibitishie mwenyewe...
  14. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Maneno mengi ya nini kuchosha keyboard, nimekupa location uende ukathibitishe habari za uchawi kama ni halisi au za kusadikika. Acha mboyoyo mingi nenda ukajionee mwenyewe.
  15. jong afrikaanse

    JamiiForums Tanzania Story za uchawi ni fiction story (stori za kubuni ) na zipo sana kwa ajili ya jamii ya watu wajinga tu

    Maneno yangu yasiwe mengi sana. Huwezi kusema kitu kipo au hakipo bila kukiverify wewe mwenyewe. Mimi ntakupa location ya kwenda kuprove kuwa uchawi upo na nna hakika majibu utayapata ila kibaya ni kuwa hutaweza kuja tena kutoa mrejesho hapa jukwaani kuwa uchawi upo au la; but personally utakuwa...
Back
Top Bottom