Habari wanajamvii hili nilikuwa nataka ninunue altezza 4ward engine 4 cylinder nilikuwa naitaji kujua ulaji wake wa mafuta ukoje kwa 1 Lita ni km ngapi
Habari zenu wadau nimenunua gari nataka kuisafirisha kupitia scania sitaki kuendesha inatoka dar kwenda Mwanza Ina gharimu shilling ngapi kwaajili ya usafirishaj
Habari wanajamii forum nilikuwa nataka nianze kufanya biashar ya kuuza lubricant na vifaa vidogo dogo vya Magari na piki piki ila sina uzoefu na biashara hii.. Nilikuwa naomba msaada wakujua lubricant zipi ninue ambazo zinaitajika kwa wingi pia spare parts ndogo ndogo Kama bearing, air filter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.