Recent content by Jonash

  1. Jonash

    Wanawake wenye Maziwa yaliyosimama (Saa 6) hayana Hisia

    Mkuu utakua unakutana labda na wanaoanza kuchipukia miaka 8 hivi... Saa 6! ! !
  2. Jonash

    Hii simu ndogo ya tochi inatubeba sana

    Kwenye simu ndogo hamna ujumbe na picha kwa pamoja, kwo ata akikuta ujumbe unaweza ukawa batili. Ujumbe mzuri unasindikizwa na picha. Mahakamani ushahidi ndo kitu muhimu kuamua kesi.
  3. Jonash

    Kwanini mnapokuwa mnafikia mshindo wa Kingono lolote utakaloambiwa uliseme unafyatuka nalo tu?

    Hongera kwa kunukuu,una nukuu sana mkuu btw labda conciousness huamia kiunoni na akili inafanya mambo pasipo muongozo
  4. Jonash

    Nimeiba chupi ya mke wangu

    Pichu unaenda kuifanyia nini? Je ikianguka au vibaka wakikuibia begi afu wakaitupa na mchawi akaiokota?
  5. Jonash

    Wanaume kugoma kwenda kupima, wanawake tufanyeje?

    Mpaka unafika geto hujui kilichokupeleka? Kwanini mara mbili mlizokutana msingeenda kupima? Eti mkuu...
  6. Jonash

    Shemeji kasema tukitaka hela kwa kaka yetu tumuone yeye na sio kaka

    Sasa mkuu mambo yk na brother yanafikaje home?
  7. Jonash

    Huyu ni kaka wa wife kweli? Au nimeingizwa mkenge?

    Uyo binamu wa wife anatokea humu humu..msake anakuibia
  8. Jonash

    Nahisi nategwa sababu sijui lengo lake

    We jamaa...cjui unataka bahati ya kupata pesa iwe mpaka uokote!?
  9. Jonash

    Bakora hazimjengi mtoto kinidhamu

    Bakora zinasaidia sana iwapo mtoto ataadhibiwa kwa kiwango anachostahili kulingana na umri...
  10. Jonash

    Ndoto

    Habari, Hivi karibuni nimekua nikiota mara nyingi jambo moja ambalo limeshapita...huwa nipo shule nasoma,either advanced au ordinary levels wakati nimeshamaliza...hii hali imekua ikinitokea mara nyingi sana mpaka najiuliza kwanini naota ndoto ya aina moja mara nyingi? Mwenye kuweza kufahamu...
Back
Top Bottom