Ingetosha kusema ni mshamba au umri au ila uko kwengine unakosea sisi uku ziwani tunaelewa kwann wanabadilishwa kila baada ya miezi miwili au mitatu!!!
Ujinga mtupu!!! Ungeandika na uwatakao ili tujue huna uchama chama mana kwa haraka tu nishaona una uchama fulani ambao umeuficha kwa kuchimbia kichwa chini nakuacha matako juuu
Naungana na huyu shetani ivi ushaona hali ya syria?!!! Umeona yemeni?!!! Je libya kumetulia baada yq nato kumtoa dicteta?!!! Acheni unafki acha wafe nao. Jirani yako kongo kila kuchwao raia wanakufa hamsemi ila mabeberu yakilalama mnaunga tela kama wanasesele!!!!?
Ukishaanza kuweka bati na ukaweka grill weka mtu akae hapo saiti mana bora huyo dirisha wengine wanabebewa wireling ya nyumba nzima ukitaka kujua utamu wake nenda dukani kanunue vifaa vya umeme uone kiboksi unachobeba afu hela unayoachaaaa sas
Sahihi kabisa ila kuna wanaofanya mpaka 20000 kwa mita ila electrics fenc unatakiw utafute mtu mwenye ujuzi usiangaalie bei hizo waya mara nyingi huwa zinalegea kutokana na kutokuvutwa vizuri ndo zile unapita sehemu zimening’inia kama bembea unapata hasara marekebisho mara kwa mara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.