Recent content by Jon Joe

  1. J

    JamiiForums Tanzania Mtawa aagwa, dereva asimulia

    hakika twajua kuwa tutakufa: but lini, wapi, namna gani imebaki ni siri ya muumba. olesaidimu kumbuka safari ikiisha pangwa, si uzio wa umeme, mlinzi wa kimasai, mbwa mkali wala tunguri na silaha za kisasa zaweza kuzuia.
  2. J

    JamiiForums Tanzania kalenga:

    Home of great thinkers? even this tribalist and regionalist? better call "home of great gossipers" VIVA CDM. VIVA COMMANDERS. VIVA TENDEGA. SAY AMEN.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Kitakachotokea CHADEMA mwaka ujao hiki hapa

    wafuasi wa chadema wa siri hawako mitaani tu, Wegine wako bungeni wakitaka kura za siri. hivyo mkuu uliyeleta hypothesis uko sahihi. waachie wengine watakuletea data.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Grace Tendega: Nimetoka mbali na wanakalenga

    kama ni hivo kweli matatizo ya wanakalenga hayakuhusu. Tofauti yako na Mwingereza huyo ni mahali mnapoishi ila mwelekeo uleule
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mimi ndo nitakuwa wa mwisho kufunga mlango wa CHADEMA ikifa

    hapo umenena mkuu. katika safari ya ukombozi lazima wawepo wasaliti. tuko pamoja xana.
Back
Top Bottom