Recent content by Jolebatawi

  1. Jolebatawi

    Nchi iko site, Serikali ya awamu ya tano imefanya kazi kubwa sana

    Hakuna jipya kwakuwa mapambio ya sifa hizi hayajaanza Leo kwenye awamu hii tu.
  2. Jolebatawi

    Rais Magufuli mbeba maono ya Watanzania hatimae ametuvusha salama kwenye janga la corona, Tuendelee kumwombea Rais wetu

    Tuweni na subira. Tuacheni siasa kwenye hili janga. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jolebatawi

    Josephine Mushumbusi: Hongera Patrobas, Mwenye chama angegundua unahama CHADEMA, tungekusoma kama Ben Saanane

    Ya Josephine kwa Dr. Slaa hayana tofauti na ya Grace kwa Mugabe. Wamewavuruga babu za watu bure na hatimaye wanaanza maisha ya kutangatanga.
  4. Jolebatawi

    Fomu za kujiunga(Joining instruction) kwa shule mbalimbali za sekondari nchini

    Kwa wale waliochaguliwa kujiunga na shule ya Sekondari Mwendakulima iliyopo Kahama mkoani Shinyanga mnaweza kudownload fomu ya kujiunga pamoja na sare na mishono. JF moderators naomba msaada wenu wa kuipin hii post ili kwa Wale wanafunzi wanaopiga simu ya kuomba joining instruction niwe...
  5. Jolebatawi

    Mamia ya wanachama kuihama CHADEMA ni pigo takatifu hilo

    Huyo mwanzisha Mada kachanganyikiwa, hata hajui umuhimu wa upinzani.
  6. Jolebatawi

    Yu wapi Dr. Azaveli Lwaitama?

    Dr. Lwaitama leo yupo itv mubashara muda huu kwenye mjadala wa UDASA kuhusu muungano.Najua lazima atamwaga cheche kwenye huu mdahalo.
  7. Jolebatawi

    Roma Mkatoliki na Waziri Mwakyembe waongea na waandishi wa habari

    Hakuna cha press conference hapa,baba askofu GWAJIMA tusaidie tu kurusha makombora hii jumapili ili tuufahamu ukweli wa suala hili kwakuwa wewe ndiyo sauti pekee inayopaa tokea nyikani. Heshima yote tuliyompatia ROMA hajaitendea haki,watakapotekwa tena hakuna atakayewalilia,acha waendelee na...
  8. Jolebatawi

    Julai 2017: Nyongeza za mishahara na kupandishwa vyeo - Kilio cha Watumishi wa Umma

    Yaani we unasubiri hadi 2020?mtumishi gani wewe na wakati wenzako hatuna presha na wala hatuhitaji nyongeza.Waache kabisa ila outcome yake wanshindwa kuitamka hadharani. Outcome huwezi kuitambua hadi ufanye utafiti.
  9. Jolebatawi

    Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

    Haina maana kwakuwa song lilishapekuliwa na limeshatapakaa dunia nzima.
  10. Jolebatawi

    Rais Magufuli amteua Charles Kichere kuwa Kamishina Mkuu TRA

    Hizi habari siku hizi wala hazina mashiko,tulishazichoka kwakuwa hazina positive impacts to our daily economy.
  11. Jolebatawi

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba: Naagiza aliyemtolea bastola Nape Nnauye, achukuliwe hatua

    Mwigulu ulichokiamua ni wazo zuri,ila IGP atakapoamua kukaa kimya na asituletee mrejesho sisi watanzania tunaowalipa mishahara yao kupitia kodi zetu utachukua hatua gani? Majibu Tafadhari!
  12. Jolebatawi

    Kipindi cha SHILAWADU wiki hii hakirushwi clouds tv ?

    Jamani shilawadu shilawadu,acheni hizo zindukeni bana.Hamjui hata mkulu alisema huwa anawafagilia na kuwapiga chaboo? Rudini hewani tafadhari.
  13. Jolebatawi

    Mawaziri wafuatao wanastahili kujiuzulu kumuunga Nape Mkono

    Kinachoangamiza taifa hili ni unafiki tu.Tunapenda kuishi maisha ya kujikombakomba hata kama mtu ana elimu ya kueleweka,matokeo yake tunaishi maisha ya huzuni na kukosa furaha sababu ya utwana wa kujikomba. Sasa ni jana tu na kurudi nyuma ulikuwa unashambulia watu wanaomkosoa Nape alipokuwa na...
  14. Jolebatawi

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata kontena lenye magari 3 na Makontena 20 yenye Mchanga wa Madini

    Hizi zote ni mbwembwe na upuuzi tu,sasa mawaziri sijui wana kazi gani awamu hii.
  15. Jolebatawi

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    Baba Askofu Gwajima usisahau kuvunja miamba jumapili ya wiki hii kama kawaida.Mungu yuko upande wako ndiyo maana amemuumbua shetani aliyekuwa akikuvizia.
Back
Top Bottom