Ukitulea swali kama hili outomatic tutakushauri kuwa mchumba hasomeshwi ...... ngoja nikushauri ivii ..... kama hutojali mtafte mwanasheria andikisha neni ... mta andikishana nini mtajua nyie ila lazma uthibitisho flani uwepo kama mlikubaliana kwa mandishi kisheria ....utanishukuru badaye
Kuoa mwanamke wa chuo siyo shida inategemea na jinsi mlivyo ivana .... kama mwanaume lqzma upime kwwnye mizani yako mfano ukisha ona ishara kama hizo tangu mwanzo uanze kujitafakari dhahiri hapo inaonekana ni watu wasio endana ni hatari sana kumwka mwanamke kama huyo ndani
Wew jitie kihere here siku dada anafukuzwa hapo na wewe utajua hujui ..... niseme tu ukweli sisi wanaume tunatofautiana sana kwanzia mtazamo mpaka tabia ...... hvi ntanzaje kukaa kwa dada yangu alafu bado niwe na ujasiri wa kumendea beki 3 ......seriously.... pia hii inaonekana kama story ya...
Hapo kuna mambo mawili yanaweza kuwa sababu
1: angalia kucha zako kama ni ndefu kata
2: kwa siku 3 au 4 nyuma angalia aina ya chakula au mafuta ya kula unayo tumia hii inaweza kukusababishia alej flani ukajihisi kuwashwa sana kwa baadhi ya sehem za mwili au umebadili sabuni ya kuogea...
Tangazo limekaa kimkakati sana ..... ila ogopa matapeli ma agent wa shetani wamekuwa wengi sana ...... wana njaa kali sana wanaitaka pesa yako na nafsi yako
Wambea utawajua tu hata vitu vya kipuuzi unavifuatilia aliyekwambi pale anaiba mafuta ni nani hivi mafuta yanaibwa hadharani kizembe vile .... yale ni mabaki ingekuwa mafuta yana waka kirahisi kama ulivyo elezea magari yasinge bebq mafuta kabisa ..... kuna vitu ukivijulia ukibwani tena mjini ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.