Recent content by jokins

  1. J

    Ujumbe kwa Mbunge wa Songea Mjini mheshimiwa Emanuel Nchimbi

    Hongera kaka kwa taarifa hii, nakuomba waelimishe wananchi wafanye mabadiliko sio kung'ang'ania ccm kila wakati huo ni utumwa wa kifikra
  2. J

    Kikwete ameshasaini Sheria ya Mabadiliko ya Katiba

    Umepoteza muda wako kuandika takataka kama hii
  3. J

    Walisombwa na CCM wakatelekezwa, CHADEMA ikawasitiri

    hey nyinyi em hoi kwa sasa na 2015 wataisoma, hongereni makamanda wa cdm kwa kuwasaidia masikini wenzetu ambao ni ccm kalai,
  4. J

    Propaganda chafu na uzushi uliokithiri wa CHADEMA Makao Makuu

    poleni sana magamba na mtapiga sana kelele, nyinyi propaganda zenu hamzioni? mimi naawaonea huruma sana endeleeni kupandisha wachina jukwaani na kupiga lippu zahanati, Mungu ibariki chadema
  5. J

    Tundu Lissu, Lukuvi, Dr Kitima jino kwa jino!

    Kwa mbali namuona lukuvi anaweweseka
  6. J

    Tundu Lissu kumburuta Kinana mahakamani

    kamanda songa mbele hao magamba wameshafulia tangu kitambo ila wataisoma 2015
  7. J

    Kinana na Nape waunguruma kishapu, wanadi maendeleo wazindua miradi ya bilioni 3.

    hizo ni siasa za uongo na kitengo cha propaganda cha magamba, tuambie pesa zimetoka nchi gani na zipo benki gani? au buku 7 ya chai inakutesa
  8. J

    Rais Kikwete anaipenda CHADEMA!

    kaka haya magamba hayana kumbukumbu kabisa, watz wanamzomea kinana bcoz ni haramia na mwizi wa pembe za ndovu na akajifanya kwenda mahakamani lakini hadi leo kesi ilipokuwa haijulikani
  9. J

    James Millya na Ally Bananga hatufukuzwa CCM kama Juliana na Mwampamba walivyofukuzwa CHADEMA

    mpe peoples ya nguvu kamanda bananga mwambie wana mvomero wa kata ya mtibwa tunampa hai sana, pia mwambie makala bado yuko hoi
  10. J

    Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

    ushapata viroba pori na sigara -----, kweli uongo wa kufundishwa ni sawa na kansa
  11. J

    Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

    hana lolote njaa tupu, yani nawshangaa sana magamba wanaona wamepata mtu,, hovyooooooooooooooo
  12. J

    Live: Mansour Himid , Dk Slaa na Hassan Moyo

    tuambie kashfa zipi? au unaropoka kama umekunywa viroba pori
Back
Top Bottom