Za mchana..
Nauza Mbolea ya Kuku, IPO kwa wingi Sana, napatikana Kigamboni Kwa Mwingira Mjimwema..
Kwa mawasiliano Tafadhari wasiliana nami kupitia 0786 647564 au 0674 050550..
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa Ana chogo,ningesema umtengenezee ngata ya kichwa,then akilala kichwa unamdumbukiza Kwenye Ile ngata,sasa sijui huyo wako kabonyeaje...Pole mamie
Kuna wamama watu wazima huwa wana namna Yao ya kuwakanda watoto Kama hao..Ila naona kwa sasa Punguza kumlaza huo upande uliobonyea,pia mtoto usimlaze upande mmoja sana,alale upande,alalie mgongo,tumbo pia Ila jaribu kuwa unamgeuza Mara kwa Mara ili abalance...
Pia unaweza mkanda Na mafuta ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.