Recent content by Jojune

  1. J

    Maendeleo yapi yanaelekea Kigamboni

    Yaan kwakweli kigamboni tunanyooka,hata hapa nnavyoandika tanesco washafanya yao
  2. J

    Mafuriko makubwa Kyela: Misaada ya kibinadamu ya hali na mali inahitajika haraka

    Dah Mwaya kwetu... Poeni sana ndugu zetu...Mungu awapiganie kwakweli
  3. J

    Natafuta wateja wa Mbolea ya Kuku.

    Asante Sana kwa ushauri ndugu.. Japo mpk sasa ni nyingi Sana, sio chini ya Tani 10 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. J

    Natafuta wateja wa Mbolea ya Kuku.

    Za mchana.. Nauza Mbolea ya Kuku, IPO kwa wingi Sana, napatikana Kigamboni Kwa Mwingira Mjimwema.. Kwa mawasiliano Tafadhari wasiliana nami kupitia 0786 647564 au 0674 050550.. Karibuni Sent using Jamii Forums mobile app
  5. J

    Msaada soko la kuku dar es salaam

    Kuku wa Aina gani
  6. J

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Je unaweza kufungua account Mbili, kwenye branch moja??
  7. J

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco,naomba kuuliza kigamboni kuna shida gani??mana hatuna umeme toka saa moja asbh
  8. J

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco,umeme mmerudisha huku kigamboni,lkn unacheza balaa,yan mtatuunguzia vitu,mara uwe mwingi mara mdogo,heri msingerudisha basi
  9. J

    Huu ni ugonjwa gani? msaada tafadhali

    Mungu wetu ni msikivu,Na hutenda kwa wakati wake
  10. J

    Huu ni ugonjwa gani? msaada tafadhali

    Huyo ni maombi tuu.. Poleni sana
  11. J

    Msaada! Mtoto mchanga kabonyea upande mmoja

    Ingekuwa Ana chogo,ningesema umtengenezee ngata ya kichwa,then akilala kichwa unamdumbukiza Kwenye Ile ngata,sasa sijui huyo wako kabonyeaje...Pole mamie
  12. J

    Msaada! Mtoto mchanga kabonyea upande mmoja

    Kuna wamama watu wazima huwa wana namna Yao ya kuwakanda watoto Kama hao..Ila naona kwa sasa Punguza kumlaza huo upande uliobonyea,pia mtoto usimlaze upande mmoja sana,alale upande,alalie mgongo,tumbo pia Ila jaribu kuwa unamgeuza Mara kwa Mara ili abalance... Pia unaweza mkanda Na mafuta ya...
  13. J

    BASATA tunasubiri msimamo wenu wa habari ya Nay wa mitego mlioitoa mapema leo

    Ila ney akae mguu ndani,mwingine nje...nahisi kuna bomu lake mahali,it's just the matter of time
Back
Top Bottom