Mdakuzi mkuu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 212
- 720
Salaam wandugu.
Mungu anisamehe kwanza. Ila mm nikiona mtu anakula, kuandikia au kushika kitu kwa kutumia mkono wa kushoto,halafu ni mtu mzima, inakera sana.Inakuwaje wazazi huwaacha watoto wao kutawala mkono wa kushoto ile hali na mkono wa kulia upo.
Kiutamaduni, mkono wa kushoto hushika vitu najisi (vichafu) sana. Kuutumia huo mkono kula ni kama kula hivyo vitu.Kuna jamaa yangu nimemsema mpaka nimechoka, amachukuq tonge la ugali kwa mkono wa kushoto anabugia mdomoni kiroho safi
Kutumia mguu wa kushoto kuchezea mpira its okay.
Najiuliza tu, ni nn huwa kinatokea mpaka mtu anakuwa comfortable kula, kuandikia mkono wa kushoto ile hali mkono wa kulia upo kabisa?
Asubuhi njema.
Mungu anisamehe kwanza. Ila mm nikiona mtu anakula, kuandikia au kushika kitu kwa kutumia mkono wa kushoto,halafu ni mtu mzima, inakera sana.Inakuwaje wazazi huwaacha watoto wao kutawala mkono wa kushoto ile hali na mkono wa kulia upo.
Kiutamaduni, mkono wa kushoto hushika vitu najisi (vichafu) sana. Kuutumia huo mkono kula ni kama kula hivyo vitu.Kuna jamaa yangu nimemsema mpaka nimechoka, amachukuq tonge la ugali kwa mkono wa kushoto anabugia mdomoni kiroho safi
Kutumia mguu wa kushoto kuchezea mpira its okay.
Najiuliza tu, ni nn huwa kinatokea mpaka mtu anakuwa comfortable kula, kuandikia mkono wa kushoto ile hali mkono wa kulia upo kabisa?
Asubuhi njema.