MKUU UNACHOTAKA KUJUA HAKINA TOFAUTI NA HAYA MAHINDI YAKUNUNUA DUKANI CKUIZI YAKIOTA HUWEZI KUPANDA TENA SHARTI URUDI KWAO WAKUPE MBEGU NYINGINE, INSHOT VITU VISHAFANYWA BIASHARA VIUMBE ASILI VISHATOWESHWA, NI MW3NDO WA KUFANYWA WATEJA WA DAWA ZA KANSA,FIGO,MOYO, PRESHA NA KISUKARI, BIASHARA ZA...
nimekufatilia tangu mwanzo wa uzi wako nilitegemea nitaona umetoa fungu la biblia linalokusapot twende kuombewa kwa mtumishi, lakini naona porojo za kupiga sadaka tu
Hivyo ndivo Mungu kakuweka kubali hilo kwanza maana ni Edeni yako kama samaki anavotegemea maji, badala ya kupasua kichwa kutafuta usichokua na uwezo nacho boresha asili yako uone itakusaidiaje kufikia mafanikio yako, nakuhakikishia kadri utavojichangamsha kwa watu ndivo utakua kituko zaidi
Sio ajabu matoto ya 2000 yanaonekana kuzeeka, hindi lililotakiwa kukomaa kwa miezi 6 linakomaa miez 2 linaliwa anaekula atakomaa kwa miez 2.
Kuku wakuliwa miez 6 anakomaa wiki 2 ya 3 analiwa, atakae kula atakomaa kwa wiki 2. Mwembe wakukua na kutoa matunda baada ya miaka 4-6 utakua kwa miez 6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.