Watu walizoea madili kweli but maisha hayakua magumu kiasi hicho tatizo biashara haiendi then kodi imekua kubwa MTU anakijibanda tu hata faida hakuna compare kodi alipayo,tunashauri serikali ipunguze kodi kwa watu wa chini
Tatizo kubwa la wadada kutoka nawazee au kuchepuka its because of money tu ,vijana wabahili sana wanapenda mapenzi bure,hawana pesa wanalialia tu humu jf,utapata mapenzi ya bure but jua kunamsaidizi wako anaekutunzia hiyo papuchi ipendeze uzid kudata,nawewe ukifika unaona kama husalitiw upo...
Kinacho nishangaza wanaume hali hii ya magufuli mnataka mapenzi bure make kila siku wadada mnaomba ela basi nanyie msiombe mapenzi hakuna MTU atawaomba ela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.