oyaaaaaaaaaa kama unanzingua flani hivi????????/ au umekosa cha ku-post? hiili jambo unaongelea kuna thraed kibao zimesha sema!!!!!!!! so kama vipi uweunapitia thread nyingine kabla hauja post kitu! yaani kifupi una-boa brother, JIPANGEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.................................
Vp baba utuambizane bac Mtoa mada! una dondoo kuhusu selection nini? Kwani umeshapata addmission pande hizo nini? Cause kama unajihakikishia ushindi hiviii
Khaa! huu ni wizi mtupu tena in black and white, yaani hiyo process of application on the basis of first come first served, siyo fair hasa kwa ataye chelewa kupata taarifa like wale ndugu zetu wasio na resources kama pc na walio killage. itakuwaje sasa? Ndio hapo mtu ana qualification nzuri ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.