wewe 1st choice yako ni nin shehe wangu?
medicine UDOM
wewe 1st choice yako ni nin shehe wangu?
Hii ndiyo bongoland baba, kama hukuijua ndo unaonyeshwa mitaa ya jiji la bongo. unapompatia mtoto wa miezi sita wembe akunyoe ndevu unategemea nini?
Habari njema kwa toka
TCU!!!!! Mambo yapo tayari wameshamaliza,kinachosubircwa ni kufanya
coordination na board ya mikopo,ili kuthibitisha click hapa TCU WEBSITE
uone link mpya yenye list ya selected students
Habari njema kwa toka TCU!!!!! Mambo yapo tayari wameshamaliza,kinachosubircwa ni kufanya coordination na board ya mikopo,ili kuthibitisha click hapa TCU WEBSITE uone link mpya yenye list ya selected students
mi nshajichokea zangu..wataponipanga poa tu!! mana moyo nnao 1 alaf nikiendekeza hizi presha si ndo nta uterminate kabisa..litakalokua na liwe..
huu ni uongo mtupu..hamna kitu kama hiki!!!!!kwa anaetaka kujua kapangiwa wapi.it's simple,ingia kwenye cas,ile sehemu ya kuweka username unaandika code ya chuo let say udsm code yake ni ud,afu ile sehemu ya pasword unaweka hzi number 111111,automaticaly utaingia kwenye majina ya watu walochaguliwa kwenye chuo husika utaona ka umechaguliwa or not.
Note:hzo password zinaenda zikibadilika badilika,so usishangae ukitest zikagoma.
huu ni uongo mtupu..hamna kitu kama hiki!!!!!
jana usiku ilikua inakubali,na nilifanikiwa kuingia kwenye orodha ya majina ya sua,bahati mbaya kozi niliyokua nimeomba nikakuta cjaichaguliwa,ila ikawa nimeindiketiwa kuwa nimechaguliwa udsm.
nahis jana ulilala bar sasa ndo ume ku-ru-pu-ka toka usingizin!!!! Acha chezea akili za watu kijana!!!jana usiku ilikua inakubali,na nilifanikiwa kuingia kwenye orodha ya majina ya sua,bahati mbaya kozi niliyokua nimeomba nikakuta cjaichaguliwa,ila ikawa nimeindiketiwa kuwa nimechaguliwa udsm.