Pwani Kuna chuo kikubwaaa cha siasa Africa mashariki tena magu ndo alizindua....na Kuna OPEN UNIVERSITY.... Na college kibao hususan vya afyaaa
Kwelii ww huna unachoo jua ni ujinga tuuu
Daaah😂😂..!!kitamboo sanaa nakumbuka kipndi nipo o level nilikuwa na mazoeaa naa crew ya vjana wa mizahaa sanaa..
Sasa Kuna tukioo lilitokeaa pale skul..Kuna jamaa MMOJA kwenye ilee Crew alifumwaa anakojoa kwenye pipaa la choon aiseee..ilikuwa ni fedhea..
Alivyokamatwaa waalimu wakasemaa huyuu...
Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona mabadili.
Nimekuja hapa jukwaani naomba msaada Kwa yeyote mwenye njia nyingne mbadalaa namaansha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.