Recent content by Johnson json

  1. J

    JamiiForums Tanzania Bei ya tray la mayai ya kuku wa kisasa (layers) Kahama ni shilingi ngapi?

    Unapatikana kahama sehemu gani
  2. J

    JamiiForums Tanzania Bei ya tray la mayai ya kuku wa kisasa (layers) Kahama ni shilingi ngapi?

    Habari za mda huu wanajamvi, samahani ninauliza Bei ya tray moja ya mayai Kwa kahama, kama Kuna mtu anafahamu?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na washirika wako nakwambia hivi: Maandamano ya kweli huwa hayatangazwi hii movement ishafeli big time 100%

    Yaan mnafanya maandamanoo mnapgwa vrunguuu anaehamasisha yupo anawachekii tuu huko US😪
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kafaulu freshi form 4 anataka aende kusomea computer, Aende kusomea Taaluma ipi na chuo gani ?

    Toa faida wacha kuongea ujingaa hii ndo NEOCOLONIALISM
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mikoa hii haina vyuo vikuu kabisa wala mpango wa kuvijenga. Serikali iwajibike kuisaidia haraka

    Pwani Kuna chuo kikubwaaa cha siasa Africa mashariki tena magu ndo alizindua....na Kuna OPEN UNIVERSITY.... Na college kibao hususan vya afyaaa Kwelii ww huna unachoo jua ni ujinga tuuu
  6. J

    JamiiForums Tanzania Land rover jaguar f-pace

    Wataalamu wenye uwelewa wa hii gari kwenye oil consumption...na spares zakee je ni affordable...natanguliza shukran
  7. J

    JamiiForums Tanzania Ni kazi gani uliwahi kuifanya ukaapa hutakaa uifanye tena?

    Uliinvest ama ulikuwa mponcha
  8. J

    JamiiForums Tanzania Ni kazi gani uliwahi kuifanya ukaapa hutakaa uifanye tena?

    Apolo mbna muoga😂
  9. J

    JamiiForums Tanzania Dawa gani inafaa hawa kuku wa mayai?

    nmewachoma hii dawa imekuwa msaada Mkubwa kwaoo cc 2 Kwa kila kuku hii ni njee ya kitaalamu Kuna mfugajii alinipa kama experience yake
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ni aibu gani umeshawahi kupata kwenye maisha yako??

    Daaah😂😂..!!kitamboo sanaa nakumbuka kipndi nipo o level nilikuwa na mazoeaa naa crew ya vjana wa mizahaa sanaa.. Sasa Kuna tukioo lilitokeaa pale skul..Kuna jamaa MMOJA kwenye ilee Crew alifumwaa anakojoa kwenye pipaa la choon aiseee..ilikuwa ni fedhea.. Alivyokamatwaa waalimu wakasemaa huyuu...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Dawa gani inafaa hawa kuku wa mayai?

    Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona mabadili. Nimekuja hapa jukwaani naomba msaada Kwa yeyote mwenye njia nyingne mbadalaa namaansha...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Hi kitu ni ya kweli msaada wakuu gwec investment

    Na ww umewekeza tiari So ko yeye amewek kama 2M..
  13. J

    JamiiForums Tanzania Hi kitu ni ya kweli msaada wakuu gwec investment

    Naelewa.. ila nmeuliza na upandee wa hukuu ni vip
Back
Top Bottom