Recent content by Johnson Fundi

  1. J

    JamiiForums Tanzania Video: Kuna Jambo Halipo Sawa Hapa, Either Tumekosa Uelekeo Au Uelekeo Umetukosa Sisi. Hii Ni Dharau Kubwa Sana

    ni hoja tu, kupata ulinzi wa polisi. kama una msafara na una mapesa mengi unasafiri nayo, polisi ukiwaomba hawakunyimi ulinzi maana ndio kazi yao KULINDA RAIA NA MALI ZAO.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Justice for Mchome

    lakini mashataka yaliyofunguliwa tofauti kbs na ulichotaja wewe!!!!!!
  3. J

    JamiiForums Tanzania Maisha ya wasanii ni ya kisanii sana. Pole Wastara

    hujamuelewa anachokilenga
  4. J

    JamiiForums Tanzania Wanaovua viatu misikitini ni masikini

    ALIVUA
  5. J

    JamiiForums Tanzania Wanaovua viatu misikitini ni masikini

    ALIVUA
  6. J

    JamiiForums Tanzania Trump Waarabu wanamcheza kama wazungu wanavyowacheza viongozi wa Afrika

    is it?!!!? ni kama alivua vile?!? au niliona vibaya!!!!
  7. J

    JamiiForums Tanzania Hospitali Teule ya Mugana ya mkoani Kagera yaongoza kitaifa kwa usafi katika Hospitali za Wilaya

    wakienda kushindanisha za MIKOA naipa nafasi HOSPITALI YA MKOA WA GEITA - MAGOGO
  8. J

    JamiiForums Tanzania Geolojia inasemaje katika hili, Je kwanini Zanzibar hakuna madini ya dhahabu, copper au Almasi?

    Ndgu yangu, dhahabu mara nyingi kwenye nchi zetu hizi haisubiri wanajiolojia mahiri wakwambie ipo au haipo, ni wanajiolojia wetu wa ngumbalu ndio wantuonyesha hapa kuna dhahabu, migodi yote ya dhahabu huku bara ilianzishwa na wachimbaji wadogo ndio wakubwa wakaja na mipesa yao wakaondolewa. kwa...
  9. J

    JamiiForums Tanzania LATRA yasitisha leseni ya kampuni ya mabasi ya Katarama

    Ninavyojua katarama ana BRAND NEW SCANIA TUPU, hebu wajuzi mjadili perfomance ya SCANIAna YUTONG,DRAGON,HOYO zinapokuwa barabarani
  10. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

    hahahaaaahaaaa!!!!!!!, au kuna mtu analizushia jeshi letu mahili la polisi?!?, maana hii taarifa hata kwa waliosoma nkome huko wanaelewa ni kampiko fulani hivi. lakini hii si mara ya kwanza!!!
  11. J

    JamiiForums Tanzania Watatu wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya Milembe wa GGM

    swali lako ni fikirishi sana, nadhani hatujafika mwisho wa case hii,je walikuwa ni wao tu kwa utashi wao tu??!!? and for what reason, kama walitumwa the somebody behind the scene yuko wapi?!?, hawezi kuua wengine?!?
  12. J

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari hapo wizarani, npenda kuelewa kwa kina ni kwa namna gani wizara hii nyeti inasimamia dawa nyingi zinazotangazwa na kuuzwa mitandaoni, maana sioni alama yenu yoyote kwamba imesajiliwa na ni salama ka matumizi ya binadamu lakini pia inatibu kwa usahihi kile kinachosemwa. vinginevyo hilo...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

    iko hivi wan yes watacalculate faida yako kila mwezi itaingia kwenye account yako lakini huwezi kutoa mpaka maturity
Back
Top Bottom