Recent content by Johnso jofrey

  1. Johnso jofrey

    Ngoma ya Roma ft Stamina....

    Kiukweli wote wamebaransi katika mashaili yao waliyo yatunga Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Johnso jofrey

    ROMA na STAMINA wana maana gani kufanya hivi?

    Watakuwa wanawaana yao kiundani Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Johnso jofrey

    Kutoka Tanga: Rais Magufuli awapatanisha Clouds Media Group na Paul Makonda

    Hichi ndicho tulichokuwa tunakisubili Sent from my HTC One using JamiiForums mobile app
  4. Johnso jofrey

    Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?

    Ukisikia vijana waichukia serikali ni wale ambao hawajishughulishi na mitikasi ya kila siku wao ni kukaa vijiweni na kuanza kujadili maisha ya neema pasipo kujua lazima wahagaike ndipo wapate hayo maisha hapo ndipo unakuta mtu hana la kufikili na kuanza kuilaum serikali
  5. Johnso jofrey

    Ripoti ya pili ya mchanga itamuacha uchi Tundu Lissu

    Lisu cjui ni mwanasheria au mfuga kuku
  6. Johnso jofrey

    Tundu Lissu: Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais

    Mwanasheria wa kukosoa maendeleo ya nchi yaani anashabikia tuendelee kuibiwa na kunyonywa hana akili kabisa kama ndy upinzani sasa too much.
  7. Johnso jofrey

    Unamjua vizuri Idd Amin wa Uganda? Soma mambo haya 10 ubaki mdomo wazi1

    Duuuh kweli huyo shujaaa sembuse akawa peponi kama alitubu be4 kifo
  8. Johnso jofrey

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Imeandikwa si kila mtu asemaye vwana bwana atauonaufalme wa mbinguni na jihazarini na manabii wa uongo kwamaana watahubili na kutoa mapepo kwa jina langu na watafanikiwa na mkiwafuata mtaangamia.
  9. Johnso jofrey

    Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

    Bongo move wamekosa wa kumshitaki wafanye move kama wenzetu siku zote chenye gharama ndicho kiziri so wasitumie gharama ndogo wakizani watatengeneza kilicho bora never.
  10. Johnso jofrey

    Nampenda sana Mahondaw

    Ameumbika lakini sio mbaya
  11. Johnso jofrey

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Bombo movie hawana plan B kazi ukahaba na Skendo mbaya ndy waonongoza
  12. Johnso jofrey

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Hapo ndy inatakuwa kuwa kila muda askari uwe mkao wa kivita
Back
Top Bottom