Mtu makini hufanya huteua watu makini, saa ni lini JK akateua watu makini?? Mawaziri kila siku mnahangaika nao, mimi mwenzenu nina count down JK atoke . . . .
weewe ni zaidi ya JK una huruma sana, usingekuja kumwajibisha waziri hata mmoja maana ungesema kama pinda kuwa haya jamani waziri kayakuta na kaanza kazi juzi tu tumwache ale ale. "We need someone to be hold accountable for any ignorance, from there we can build a strong society" -
Superbrand, kitabaki kuwa kituo bora kwa sababu hakina challenge vingine vidhaifu na vipo kiitikadi sana. Ndo maana ukiweka mambumbumbu ukawapa mtihani yupo atakayekuwa wa kwanza
Sio jana tu mbona muda mrefu sana hawajirekebishi, wawajibishane kwa kuandikiana barua watakuwa serious na kazi. Wasiwe kama CCM wanaharibu. Thread ngapi umewahi kuziona humu jamvini kuhusu ITV mkubwa?
Wakati msomaji wa taarifa ya habari saa mbili usiku jana anasoma alisema hivi "Mengi amesema kuwa watanzania waige mfano wa rais kikwete katika kuchukia umaskini" wakati najiandaa kumuondoa Mengi kwenye list yangu ya watu ambao niliwaamini angalau kidogo, mengi akawekwa hewani hakusema kitu...
Mkuu huwa simsikilizi JK lakini hii ya jana imenikuta nakula, alisema yote. Kwa maslahi ya taifa na chama, tena akasisitiza kuwa vyama visimamie misimamo yao pia.
Usomi wa mtu tunaupima kwa kile kilichobaki kichwani baada ya kwenda shule. Sasa unamdhalilisha Dr. tungekuwa na kipimo cha kupima level ya ufahamu mbona wengi tunge opt kuishia std seven maana tungejua unavyozidi kusoma level inapungua. Kama huyu ndiye msomi ambaye mnamtegemea , basi dunia...
Mkuu alipokuwa anahutubia siku moja alisema sasa wanaotaka urais wanaweza wakaanza kupita pita, alimaanisha nini? yalikuwa yake aliyoyaongeza juu ya akili za wengine au ilikuwa ni azimio la chama? Kama ni hivyo basi mwenyekiti wa chama alisema hivyo na chama hakikutoa tamko kupinga basi Lowasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.