chadema ni taasisi na sio mtei. Unaliwa wewe
Eti unasemaje??!!mwasisi wa hiyo tahasisi ni nani au chama akina falsafa?
Kumbe ni Tetesi? Karibu JFmwasisi wa chadema mtei wakati mwalimu nyerere anatetea maskini na siasa za ujamaa MTEI alitetea ubepari mpaka mwalimu kamfukuza serikalini iweje leo waseme chadema ni ya wananchi?
Ha!kumbe mtei ni bepari tukae naye mbali kabisa.Kumbe ni Tetesi? Karibu JF
Chadema ni taasisi na sio MTEI. unaliwa wewe
Ha!kumbe mtei ni bepari tukae naye mbali kabisa.
mwasisi wa chadema mtei
wakati mwalimu nyerere anatetea maskini na siasa za ujamaa MTEI alitetea
ubepari mpaka mwalimu kamfukuza serikalini iweje leo waseme chadema ni
ya wananchi?
chadema alikuwa ni zitto tangu zitto aondoke hakuna chadema.
mwasisi wa chadema mtei wakati mwalimu nyerere anatetea maskini na siasa za ujamaa MTEI alitetea ubepari mpaka mwalimu kamfukuza serikalini iweje leo waseme chadema ni ya wananchi?
chadema alikuwa ni zitto tangu zitto aondoke hakuna chadema.
mwasisi wa chadema mtei wakati mwalimu nyerere anatetea maskini na siasa za ujamaa MTEI alitetea ubepari mpaka mwalimu kamfukuza serikalini iweje leo waseme chadema ni ya wananchi?
Kwa hiyo una maana mabepari hawawezi kuwa wananchi? Au kwa maneno mengine una maana wananchi kwa tanzania ni wajamaa (socialist) tu. Hivi sasa tunafuata sera gani ujamaa au ubepari?mwasisi wa chadema mtei wakati mwalimu nyerere anatetea maskini na siasa za ujamaa MTEI alitetea ubepari mpaka mwalimu kamfukuza serikalini iweje leo waseme chadema ni ya wananchi?
chadema alikuwa ni zitto tangu zitto aondoke hakuna chadema.