Recent content by johnml2020

  1. J

    Muda unakimbia, hii ndiyo AZANIA sekondari katika baadhi ya picha

    Mimi nilimaliza hapo 2003. Kweli mchwa mpaka alikuwa hatari sana, lakini nasikia alishaaga dunia
  2. J

    KKKT, Walokole je, ni sawa kwa mwanamke alie kwenye hedhi kuendesha ibada?

    Naomba nikuulize kwenye kitabu cha Biblia hakuna nabii mwanamke??
  3. J

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Real Madrid unamuweza wewe? Labda iwe City, mmeteseka sana mpaka mmepagawa !! Hata umiliki mpira wenyewe hamna kitu
  4. J

    Nahitaji karatasi ngumu (manila ngumu)

    Si bango ni kwa ajili ya mahitaji yangu binafsi, nimetafuta kwenye sehemu za stationary nimekosa
  5. J

    Nahitaji karatasi ngumu (manila ngumu)

    Wanandugu mwenye Manila ngumu naweza kumpata ?
  6. J

    Leo Jumapili njoo na mstari wa kumbukumbu

    Ezekieli 33:8 Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.
  7. J

    Leo Jumapili njoo na mstari wa kumbukumbu

    Marko 1:16 -18 Naye alipokuwa akipita kando ya bahari ya Galilaya, akamwona Simoni na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi. Yesu akawaambia, Njoni mnifuate, nami nitawafanya kuwa wavuvi wa watu. Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
  8. J

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Man city ugenini hawawezi, wanaweza home tu, na hiyo fainali sio nyumbani, wakome
  9. J

    Nimepatwa na huzuni kuu baada ya kutangazwa majina ya walimu, nimekuwa nikijitolea bila mafanikio

    Acha kudharau kazi ya ualimu! Ulipokuwa unasoma elimu ya msingi, ulifundishwa na nani? Nenda ukatubu umekosea sana.
Back
Top Bottom