Ama kwa hakika hawajitambui. Huu ndio msimamo wangu. Vinginevyo ni akili gani mtabgabyika kulalamika kodi ya mafuta ya kula kytoka zanzibar isiyokuwa na kitu?
Mimi sio mtaalamu wa kodi.
Nazunguka vijiji vya mkoa wakigoma. Kila wiki kuna siku maalum eneo na wilaya fulani hufanya soko( gulio). Naambiwa kessho ni zamu ya Uvinza. Kuna kitu cha kufikirisha katika masoko haya.
Vitambaa vya nguo (magauni,skketi) kutoka bara hibdi mita moja huuzwa sh 2000...
Kwa msomaji kama mimi nikiwa hapa Uvinza,Kigoma,ukisema nitambo ya kisasa unalinganisha na ipi ya wapi?
Ni mwandishi hakutoa maelezo au huyo aliyesema mitambo ya kisasa hakufafanua jambo hili?
Jambo la kushangaza kama sio kusikitisha. Leo ni siku ya sita tangu uzi huu umewekwa hapa.
1. Kwanini hadi sasa NSSF au msimamizi wa mifuko hii au wizara, hawajatoka hadharani kutoa ufafanuzi juu ya jambo hili? Tufikiri nini?
2. Jamii forums, wana jamii check, kwani babdiko hili halitoshi/...
Duh kaazi kweli kweli.
Kwa mujibu wa sensa ya 2022, mkoa wa Mwanza una wakazi takriban 3.7 mil.
Mradi huu utapita Wilaya za Kwimba, Misungwi, Ilemela na Mwanza mjini zenye jumla ya wakazi 2.05 ml.
Sasa hiyo picha inaonyesha watu wasiofika 50 ukijumlisha na maafisa wa TRC, mtafanya mikutano...
Wakati wa kuzindua Uhenzi wa daraja la JPM, kuubganisha Mwanza na Sengerema, Rais wa wakati huo, aliahidi kuwa barabara hii ya njia nne itakamilika sambamba na daraja hilo.
Bajeti za wizara ya ujenzi kwa miaka yote tangu kifo cha mwendazake, zimekuwa zikieleza, kuanza kwa ujenzi huo lakini...
Askofu Mwamakula.
Asante kwa andiko zuri na la kufungua akili ili tutafakari.
Hata hivyo, kama ninavyosisitiza mara kwa mara, sina uhakika kama kuna "watu" ndani ya nchi hii ambao bado wana uwezo wa kufikiri kwa makini.
Nimevutiwa zaidi na parandesi uliyoongea kuhusu waandishi wa habari...
Tuchukulie kuwa umetumwa kupata maoni ya wana Jf kuhusu tume hiyo.
Msingi wa hoja yako unapaswa kujengwa juu ya uhalali wa hiyo tume. Ukijibu hilo utawasaidia uliowauliza maswali yako.
Asante.
Hii kesi inafikirisha vitu vingi sana. Chukua kwa mfano hili; Nani anayemkagua na kumdhibiti DPP ili kuhakikisha raslimaki za umma zinatumika ipasavyo, huku pia haki ikitendeka?
Unachukuliaje kutendo cha kutumia raslimali za umma, kukusanya bodaboda kutoka Songea, Arusha, mbeya nk, kuja kueleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.