Hapo Mwanza, tangu alfajiri ya leo hakuna umeme hadi muda huu wa 14:50, nimeambiwa kuna mtu alikwama kwenye lift iliyopo jengo la nssf Mwanza kwa sababu za umeme.
Huu umeme nao sio wa kutegemea sana. Jiulize kwa anayetegemea umeme kupika hapo Mwanza, leo ana hali gani?
" kwani awali fedha walizipata wapi, kwanini wasiendelee kama zilikuwa halali?", Ben Mkapa.
Sijui kilitokea nini, lakini ndivyo ikivyokuwa, wakati wa kampeni za uchaguzi wa 2000, kwa namna isiyoelezeka Diallo na vyombo vyake vya habari waliandaa, mahojiano kati ya mgombea wa CCM na waandishi...
Mimi najiuliza, hivi nini mchsngo wa wana taaluma wa vyuo vikuu nchini katika hali tuliyofikia?
Isijekuwa tunalalamikia matokeo huku chanzo kikiwekwa kando. Narudia nini mchango wa wana taaluma katika mkwamo tulionao?
Hii wizara huwa siielewi. Jaribu kuchukua mfano wa ziara hiyo: hiyo wizara umuhimu wake ni wa kutafutwa kwa tochi.
Katembelea shule hapo kuna TAMISEMI na Wizara ya elimu. Vijana unaitafuta kwa tochi.
Njoo kwenye Afya sasa, huko nako kuna Afya na TAMISEMI, hiyo vijana unaitafuta kwa tochi...
Alhamisi wiki hii kikao cha mchujo wa kumpata katibu mkuu mpya wa UN, kuchukua nafasi ya Antonio Guterez, kinaanza kufanyika.
Katika mchujo huo Afrika inawagombea wawili baada ya Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje wa Uganda, Olara Otunu ( 75) kupendekezwa na nchi yake. Mwingine ni aliyewahi...
JF iache kutumika kwa bei rahisi. Kama huo ulikuwa mjadala kama mnavyodai, washiriki wengine walikuwa na maoni gani?
Je, katika Mkutano wote wa UNESCO kwanini, walichagua mada mliyotuletea na sio nyingine yoyote?
Enzi hizo Kabudi akiwa Mhadhiri wa sheria UDSM, huko Zanzibar kulikuwa na kiongozi anaitwa Comandoo. Bifu lililotokea. Nilipenda msimamo na hoja za Kabudi yule.
Bw Comandoo aliwasweka ndani viongozi wa uoinzani wakiongozwa na Maalim Seid kwa kilichoelezwa kuwa ni Uhaini.
UDASA ya akina kabudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.