Recent content by johnmashilatu

  1. J

    Iweje Mtanganyika akiagiza mafuata ya kupikia kutoka Zanzibar alipe ushuru na kodi?

    Ama kwa hakika hawajitambui. Huu ndio msimamo wangu. Vinginevyo ni akili gani mtabgabyika kulalamika kodi ya mafuta ya kula kytoka zanzibar isiyokuwa na kitu?
  2. J

    Serikali yapania kuziba mianya ya ukwepaji kodi, Rais Samia atoa msimamo

    Mimi sio mtaalamu wa kodi. Nazunguka vijiji vya mkoa wakigoma. Kila wiki kuna siku maalum eneo na wilaya fulani hufanya soko( gulio). Naambiwa kessho ni zamu ya Uvinza. Kuna kitu cha kufikirisha katika masoko haya. Vitambaa vya nguo (magauni,skketi) kutoka bara hibdi mita moja huuzwa sh 2000...
  3. J

    Kamati ya Bunge yapongeza uwekezaji wa vifaa vya kisasa JKCI

    Kwa msomaji kama mimi nikiwa hapa Uvinza,Kigoma,ukisema nitambo ya kisasa unalinganisha na ipi ya wapi? Ni mwandishi hakutoa maelezo au huyo aliyesema mitambo ya kisasa hakufafanua jambo hili?
  4. J

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Jambo la kushangaza kama sio kusikitisha. Leo ni siku ya sita tangu uzi huu umewekwa hapa. 1. Kwanini hadi sasa NSSF au msimamizi wa mifuko hii au wizara, hawajatoka hadharani kutoa ufafanuzi juu ya jambo hili? Tufikiri nini? 2. Jamii forums, wana jamii check, kwani babdiko hili halitoshi/...
  5. J

    TAKUKURU Temeke: Tumeamfikisha Askofu Mahakamani kwa tuhuma za kughushi nyaraka za ardhi

    Duh. Hii taarifa imetolewa bila kuhaririwa, ni kosa la mwandaaji,aliyeipitia na kutoa " comment" au mtu kainyofoa na kuileta huku?
  6. J

    Wananchi mkoa wa Mwanza wapata elimu kuhusu usalama wa mradi wa SGR

    Kana kwamba walitoka Dar kwenda kufanya kikao cha ndani kwenye kijiji kimojawapo cha mwanza.
  7. J

    Wananchi mkoa wa Mwanza wapata elimu kuhusu usalama wa mradi wa SGR

    Duh kaazi kweli kweli. Kwa mujibu wa sensa ya 2022, mkoa wa Mwanza una wakazi takriban 3.7 mil. Mradi huu utapita Wilaya za Kwimba, Misungwi, Ilemela na Mwanza mjini zenye jumla ya wakazi 2.05 ml. Sasa hiyo picha inaonyesha watu wasiofika 50 ukijumlisha na maafisa wa TRC, mtafanya mikutano...
  8. J

    Mayalla: Walinilazimisha kukiri kosa

    Tuwafahamu wajumbe wa Bodi hii; WMTH | Habari
  9. J

    Ahadi ya Njia Nne Usagara – Mwanza Mjini (KM 25) Imefikia Wapi?

    Wakati wa kuzindua Uhenzi wa daraja la JPM, kuubganisha Mwanza na Sengerema, Rais wa wakati huo, aliahidi kuwa barabara hii ya njia nne itakamilika sambamba na daraja hilo. Bajeti za wizara ya ujenzi kwa miaka yote tangu kifo cha mwendazake, zimekuwa zikieleza, kuanza kwa ujenzi huo lakini...
  10. J

    Askofu Mwamakula Aibuka na Ujumbe Mzito Kufuatia Kauli ya Paschal Mayala

    Askofu Mwamakula. Asante kwa andiko zuri na la kufungua akili ili tutafakari. Hata hivyo, kama ninavyosisitiza mara kwa mara, sina uhakika kama kuna "watu" ndani ya nchi hii ambao bado wana uwezo wa kufikiri kwa makini. Nimevutiwa zaidi na parandesi uliyoongea kuhusu waandishi wa habari...
  11. J

    Piga nikupige

    Mwathirika wa kwanza katika vita ni ukweli.
  12. J

    Thinking Aloud Kwa Maslahi ya Taifa: Ikitokea Umeitwa Mbele ya Tume ya Jaji Chande, Je Utatoa Ushirikiano?, Na Ukifika Mbele ya Tume, Utoe Hoja Gani?

    Tuchukulie kuwa umetumwa kupata maoni ya wana Jf kuhusu tume hiyo. Msingi wa hoja yako unapaswa kujengwa juu ya uhalali wa hiyo tume. Ukijibu hilo utawasaidia uliowauliza maswali yako. Asante.
  13. J

    Kesi ya Lissu: Mahakama yatupilia mbali ombi la Jamhuri la kuongeza ushahidi

    K Tuna mfumo wa kuchunguza na kuhoji utendaji wao na pia kuwawajibisha? Au ndio wana mamlaka yote ya kufanya watakavyo?
  14. J

    Kesi ya Lissu: Mahakama yatupilia mbali ombi la Jamhuri la kuongeza ushahidi

    Hii kesi inafikirisha vitu vingi sana. Chukua kwa mfano hili; Nani anayemkagua na kumdhibiti DPP ili kuhakikisha raslimaki za umma zinatumika ipasavyo, huku pia haki ikitendeka? Unachukuliaje kutendo cha kutumia raslimali za umma, kukusanya bodaboda kutoka Songea, Arusha, mbeya nk, kuja kueleza...
Back
Top Bottom