Nawapongeza waliowapeleka kufanya mkutano mkuu hapo, kwa sababu zifuatazo.
1. Wengi wenu kama.wazazi, inawezekana mna watoto hapo ua vyuo vingine, mnayoyaona mchukue hatua msiishie kuandika humu.
2. Nafahamu KKKT wana chuo au vyuo vikuu hapa nchini, vina hali gaji? Mnafuata mafundisho ya Yesu...
KWangu mimi hiki kinachoendelea ndani ya CDM ni jambo jema ambalo linapaswa kuenziwa.
Hii ndio inaonyesha kuwa kuna uhai. Watu wanakubaliana na kupingana bila kujali hadhi ya mtu. Fikra zinatolewa na kujadiliwa.
Lakini jambo.la.muhimu zaidi ni ukweli kwamba hakuna mtu ambaye atajiona yeye...
Natamani hawa mashahidi hasa yule kutoka kwenye gwanda za mabaka, ajibu alipoambiwa kujiandaa na uchaguzi alifanya nini na vipi zile tuhuma za silaha zilizodaiwa kuingia kabla ya uchaguzi
Hapo zamani za kal kulikuwa na waziri wa mambo ya ndani, kutoka kule mkoa wa mlima mrefu. Huyu jamaa alikuwa kiboko kweli kweli,mbwembwe nyingi na maagixo kede kede.
Alikuwa maarufu zaidi kwa kutoa amri za siku saba, unifuate ofisini, vinginevyoooo.
Jamaa alikuwa moto kweli kwelihakuna...
Kama mawazo yako yako sawa, nafikiri kuna umuhimu wa kuendeleza kampeni ya #bringnchimbieback#, ikiendelea aidha yeye au kama anashikiliwa, shinikizo litawaibua na pengine, itamsaidia, kama kweli, mawazo yako ni sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.