Recent content by johnmashilatu

  1. J

    JamiiForums Tanzania WACHUNGAJI KKKT WASHTUSHWA UCHAFU WA VYOO VYA CHUO KIKUU (UDOM)

    Nawapongeza waliowapeleka kufanya mkutano mkuu hapo, kwa sababu zifuatazo. 1. Wengi wenu kama.wazazi, inawezekana mna watoto hapo ua vyuo vingine, mnayoyaona mchukue hatua msiishie kuandika humu. 2. Nafahamu KKKT wana chuo au vyuo vikuu hapa nchini, vina hali gaji? Mnafuata mafundisho ya Yesu...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    KWangu mimi hiki kinachoendelea ndani ya CDM ni jambo jema ambalo linapaswa kuenziwa. Hii ndio inaonyesha kuwa kuna uhai. Watu wanakubaliana na kupingana bila kujali hadhi ya mtu. Fikra zinatolewa na kujadiliwa. Lakini jambo.la.muhimu zaidi ni ukweli kwamba hakuna mtu ambaye atajiona yeye...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: DCI Ramadhani Kingai anakuja kunitetea. Sasa itabidi aje anyooshe maelezo. I've fought this war for 30yrs, I know how it goes!

    Natamani hawa mashahidi hasa yule kutoka kwenye gwanda za mabaka, ajibu alipoambiwa kujiandaa na uchaguzi alifanya nini na vipi zile tuhuma za silaha zilizodaiwa kuingia kabla ya uchaguzi
  4. J

    JamiiForums Tanzania JKN (DAR) Airport Ijiimarishe Zaidi Kwenye Huduma za Wateja

    Kwenye information ndio shida yangu hasa hizi zuberi zinazoahirisha / badili muda wa safari mara kwa mara.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Nikipita kwenye masoko naona vijana wanapiga hela wadada wa kisasa hawawezi kutengeneza samaki, kuku, ndizi nk. Kucha sasa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Poleni jeshi la polisi kwa msiba huu mzito

    Nje ya mada. Hivi siku hizi niko.busy au nini hiki. Hawa jamaa wamehama huku mitaani kwetu?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Uchafu mijini ni sera ya CCM isiyoandikwa popote.

    Mwanza.. Daniel ole njoolay...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Hapo zamani za kal kulikuwa na waziri wa mambo ya ndani, kutoka kule mkoa wa mlima mrefu. Huyu jamaa alikuwa kiboko kweli kweli,mbwembwe nyingi na maagixo kede kede. Alikuwa maarufu zaidi kwa kutoa amri za siku saba, unifuate ofisini, vinginevyoooo. Jamaa alikuwa moto kweli kwelihakuna...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Kwa mujibu wa Mzee Warioba,hapatikani kwenye simu licha ya jitihada za kumtafuta. Yuko wapi?
  10. J

    JamiiForums Tanzania Labda safari hii mradi wa Liganga-Mchuchuma utaanza kweli

    Biashara ya chuma chakavu itaisha? Kuhusu kuanza, hili lifanikiwe, isije kuwa Kabanga/Tembo Nickel nyinggine.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Nje ya siasa KAWAIDA ni mjukuu wa Nchimbi, ILA sishangai mbona Makonda alimkwida warioba?

    Ukimuona kobe juu ya mti...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku ni mnafiki, anasema Lissu hawezi kuachiwa kwa amri ya rais wakati fisadi Harbinder Seth na mwenzake waliachiwa kwa amri ya Rais

    ".... kulikuwa na Giriki moja.. anasema serrikali yote iko mfukoni mwake... aah. Aliwekwa ndani..... "
  13. J

    JamiiForums Tanzania Where is Nchimbi: Baada ya Nchimbi kujiuzulu na kufukuzwa CCM, je, yupo wapi?

    Kama mawazo yako yako sawa, nafikiri kuna umuhimu wa kuendeleza kampeni ya #bringnchimbieback#, ikiendelea aidha yeye au kama anashikiliwa, shinikizo litawaibua na pengine, itamsaidia, kama kweli, mawazo yako ni sahihi.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Deo, Luteni Augustine, Mzee Pancras Ndejembi... 1983
Back
Top Bottom