Hivi wandugu kodi anayozungumzia Mh. Lukuvi ni ipi ni ya Majengo au Ardhi kwa maana tarehe ndio zimeshafikia mwisho msaada wa kujua ni ipi kati ya hizo mbili mheshimiwa alisisitiza tulipe na mwisho ni tarehe 30 mwezi huu wa 5.
Nakumbuka nilifika kwenye kiduka kimoja mkoa nikaagiza vitu vyangu na kulikuwa na bia bas nikawa naburudika moja mbili mdada aliyekuwa dukani wamakamo tu story hapa na pale nikanogewa nikaa kwa muda mrefu sana hadi mumewe akatokea kumbe huwa wanapokezana kuuza na siku hiyo kulikuwa na birthday...
Da unamuona mdingi kila silu anaenda job kisha leo unamuona anacheti feki wakati akikuhimiza wewe usome huwa anajigamba kuwa yeye alikuwa kichwa noma kweli
Maoni yangu kuna watu wanaweza kuwa wananufaika ila ndio maana ni kwa miezi tisa tu kama sikosei mkataba wao knachokwenda kutokea nnachokiwaza mm ni kwamba wanatengeneza trafiking ya watu kuamini hao wanaopata wanawahamasisha wenzao kwa comfidence zote ndipo makundi kwa makundi yanakwenda kukopa...
Hivi daladala zinazokwenda makumbusho temeke au ruti nyingine hazina sheria hizi za kuwa na abiria idadi kamili maana naona huwa wanazidi 30 na yanatembea tu bila shida au ni kwa mabasi ya wanafunzi tu nieleweahen hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.