Binhai...ingekuwa msomi hii hoja yako haukupaswa kuandika hvo... Na ukiangalia msg yako inaonekana ukawa kabisa....
Nikushauri tuu...hoja uako isiwe ya kujidai kama tabia ya panya (kung'ata na kupuliza)...na pia hili swali lakeosio mda wake kuuliza kwani ulipaswa kuuliza prior general...
Hebu acheni lopolopo angalieni raisi wa africa leo anaapishwa..... Nchini tz baadhi ya searh engine kama hotboot.. Na google zitasimama kwa mda wageni zaidi ya 40 washafika wakiwemo maraisi', na wakilish mbalimbali watakuwepo
sema ww usituambie ss... Alafuu acha kusema kuwa salamu zina ubaguzi... Acha kufikiri kinyume....
Rais mteuliwa hana ubaguzi na kama kama ukiangalia mikutano yake mingi alikuwa akisalimu wanchi kwa lugha nyingi bila kusahau selemaa. Mwisho wa salamu huwa husema yeye atakuwa rais wa watanzania...
ww fuso sijui audi..... Acha hasira suala la ilani huwa haibadiliki yote ktk utendaji na ilani ya chama siyo lazima itekelezwe yote......
Mara mia ungesema kwamba kwakuwa Mrs Ana alikuwa anagombea nyadhifa kubwa yaani URAIS katiba sidhani kama anaruhusiwa kuwa mbunge or minister ...otherwise...
mlima sekenke sio mkali bali zamani sekenke ilikuwa mbaya na wala sio mkali kutokana na barabara bt now sekenke hautishi na wala sio mrefu sana... Thus kitonga unatisha kutokana na kona nyingi ....hayo ndio maoni yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.