Mimi ni mwalim ninaesubir ajira,natafuta temple kwa shule hasa za private...ni mwalimu wa physics na hesabu..namba za simu 0654919407/0753157624..tuwasiliane kwa mwenye hitaji hilo
Mwenye kujua kuhusu ajira mpya za walimu kwa waliomalza mwaka huu ngazi ya stashahada na Astashahada atujuze kama lini zitatoka! Maana kuna tetesi kua huwenda zikatoka mwezi wa kumi.
Mwenye ukweli wa hili tafadhali tujuze!
Wadau,kuna taarfa kua nacte wamekaribsha maombi ya mafunzo ya ualimu mwaka 2015/2016..sasa kama kuna mtu mwenye taarifa juu ya vigezo na masharti upate GPA ya ngapi kwa form 4 wa mwaka jana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.