Kwa shule zinazohitaji mwalimu wa Mathematics & Chemistry

Kwa shule zinazohitaji mwalimu wa Mathematics & Chemistry

NYANSAMBO

Member
Joined
Mar 27, 2015
Posts
10
Reaction score
0
Kwa wale walioko katika ngazi ya elimu katika shule za sekondari na kuna upungufu wa walimu wa mathematics kwa maana ya hisabati lakini pia kwa shulee za binafsi kama kuna uwezekano wa kusaini mkataba mrefu pia inawezekana sehemu yoyote ile nchini Tanzania tuwasiliane kwa simu 0759321911
 
Shule zinazohtaj mwalimu wa hesabu kwa maana ya MATHematics sehem yoyote Tanzania kama kuna uwezekano tuwasliane kupitia 0759321911
 
Part time halmashauri wanatoa 150k per month.ila mbunge anakula 370 kwa siku na kikaoni
 
sasa mwenzenu kaweka tangazo lake na nyie mnapandisha juu ya kwenu,,,sasa mnamnyima alieanza bah at yke,,,alafu c mkaombe wizaran au nyie hamna vyet?.
 
Back
Top Bottom