Sasa naamini kuwa humu Jf kima watu ambao wengi walienda shule lkn hawakuelimika, kwan hamuwezi kutoa hoja bila kutoa matusi! Au ndo mtandao qa mateja? Kwan ukiwasikiliza mateja wakiongea, hata wakiwa katika maongezi ya kawaida utawasikia wakitukana! Wengi tunategemea ukiingia kf unaweza...
Hayo ni mawazo yako ambayo ni finyu@ mathabane, me sioni kaI wanayofanya, watu wanapopata tatizo wakipigiwa cm kama watawahi sana, basi watafika baada ya masaa mawili, mara nyingine gari halina mafuta, huko ni kuwalinda raia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.