Muda huu Kikao kinaendelea jukwaa la katiba kuandaa vikao vyausuluhishi kati ya UKAWA (wanaotetea katiba ya wananchi) na CCM (wanaoteteakatiba ya na msimamo wa Chama chao). Baada ya kikao tutajua kikao cha kwanzakati ya Ukawa na CCM kitafanyika lini na wapi. Profesa Lumumba yupo tayari nchini.
RATIBA YA ZIARA YA AWAMU YA KWANZA YA UKAWA,
TAREHE 14 27 MEI 2014.
TIMU A- KANDA YA KATI
1. Mhe. Mosena Nyambabe (NCCR) Katibu Mkuu,
2. Mhe. Ashura Mustapha (CUF) Mjumbe wa Baraza Kuu,
3. John Heche (CHADEMA) Mwenyekiti wa Vijana Taifa,
14/05/2014 MOROGORO MJINI
16/05/2014...
Kawaida watu wenye matatizo utawajua tu. Haya mambo ya ukabila yanakujaje hapa? Kuna kabila gani linaloua au kufirisi mashirika ya umma? Ukiwa hauna cha kuweka hapa, kapumzike kwa amani. Wengine tungefurahi kujadili mambo ya msingi badala ya Ukabila.
Nadhani nd maana umejia chuki Ni chuki yako...
Tanzania tungekuwa na PM kama mbowe ambaye ni Innovative, nchi hii tungekuwa mbali. Siyo wale wanaokalia kulia tu adharani na kugawa hela Dodoma katika dinner mbalimbali huku wakipingan a mani ya watani katikasimu ya katiba!
Rais wetu mheshimiwa sana Kikwete aliunda tume ya mabadiliko ya katiba na akamteua mtanzania ambaye aliona kuwa anafikia vigezo vyote. Kwanza ni mwanasheria aliyebobea, jaji mstaafu, mwanachama wa CCM, Waziri mkuumstaafu. Akapewa na waheshimiwa wajumbe wa tume hiyo, wote wakiwa weredi katika...
Waheshimiwa, Hii nimeiokota kwenye facebook. Hii ni kutoka Zanzibar... Ndimi mbili ni za shetani, Ona mwenyewe video hii
https://www.facebook.com/photo.php?v=10203773728407150
Ndugu zangu hasa watanganyika, nimesikiliza watu mbalimbaliakiwemo Rais Kikwete na wajumbe mbalimbali wa katiba juu ya hoja za Muungano. Ainaya Muungano, idadi ya serikali n.k lakini bado nina swali gumu ambalo limeshindikana kujibiwa. Nalo nihili Kwanini tunajadili idadi ya serkaliwakati wale...
Maadam Serikali imeishakusanya kodi yake, hata bodaboda wakikosa pa kufanyia biashara, serikali haipati hasara yoyote maana umeisha Chukua Chao Mapema (CCM).
Masikitiko matupu
Ni 62% wanaotaka serikali tatu. Kama alitaka mil 45 wote watoe maoni, Warioba asinge ruhusiwa kufanya sampling. Angepitisha kura ya maoni nchi nzima juu ya ya aina ya Muungano unaotakiwa. Madam sampling ilikubaliwa kwa ToR, basi Warioba yuko sahihi mpaka kesho.
AnayepingaTnaganyika urudi...
Kwa anayekufa "natural death" kwa maana ya uzee.Lakini vifo viko vya namna nyingi kwamba hata wazee wengi hawafi kwa sababu ya useper see bali magonjwa yanayowashambulia wagonjwa. Kuna wanaokufa kwa ajalimbalimbali, wengine wanalala kasha hawaamki siku inayofuata.
Kwa vifo vyote hivi, Biblia...
Biblia imesema baada ya kufa ni hukumu. Alipaswa kuombamwenyewe alipokuwa hai. Luka 16:22-31
Ukisoma vizuri mstari wa 27-30 utaona kuwa kama wafuwangekuwa wanaombewa kwa vile huyu alikuwa tajiri, asingekuwa na wasiwasi maanapesa yake ingetumika kulipia gharama za ibada au misa ili aombewe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.