Recent content by john.magai

  1. J

    House girl anahitajika

    Pesa gani hiii angalau 70 bhana mnawachukuliaje watu hawa mm nko maeneo walipo weng NA weng wanatafuta ila kwa bei io hapana hata roho inaniuma
  2. J

    Mwanamke anapojifungua ni tatizo kutokuziona siku zake?

    Ooooh sawa lawrich ahsante umenifumbua ndugu
  3. J

    Mwanamke anapojifungua ni tatizo kutokuziona siku zake?

    Hi wana jf Naomben mnisaidie hiiv mwanamke anapojifungua na akaacha kuziona siku zake ni tatizo au ni kawaida maana awali alikuwa anaziona kama kawaida lakini baada ya kujifungua hazioni
  4. J

    Msaada: Nawashwa navimba uso na shingoni

    Hae je unamuda gan hujapima minyooo? Au kutumia dawa za minyooo? Kama unamuda mrefu jarbu fuatlia swala hilo kama ushaul wa wenzangu umemaliza
  5. J

    Kwa mliofanikiwa ku-root simu zenu tukutane hapa!

    Hellow yyte anaejuwa rooting phone naomba nisaidie NA nataman saaana rooting my phone nlijaribu Mara kadhaa nikashindwa mkuu 0715673979 hii no number Yangu NA naitumia Whatsaap vle vle naomba tuwacliane niweze kukupa nko dar mm
Back
Top Bottom