Recent content by John locke

  1. John locke

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    Siku PK akiacha kuwa kibaraka wao ndio utakuwa mwisho wake.
  2. John locke

    Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    Paul Kagame anafanya hivyo kwa maslahi ya mabeberu wa magharibi, ili na wao waendelee kulinda maslahi ya Rwanda katika Kongo mashariki. Ndio maana huwezi kusikia PK akiitwa dikteta na vyombo vya habari vya magharibi kwa sababu ni mtu wao ana faida na wao.
  3. John locke

    Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

    Ukishika 10 ujue 50 ipo njiani, mia pia utashika ukikaza mpaka b utafika
  4. John locke

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    Itakuwa unaongelea vyoo vya shimo wewe Sisi wengine unaweza kulia msosi chooni kwetu kwa jinsi palivyo. Hatuwezi kukubali huu ujinga wako.
  5. John locke

    Tumia Pesa ya mkopo kwa nidhamu ya hali ya juu

    Ndugu zangu ukitaka kununua gari, achaneni na used za bongo tena ikiwa ndio gari yako ya kwanza acha.
  6. John locke

    Heri ununue nyavu kuliko bodaboda

    Mambo yenye tija kama haya hayapo katika mitaala yetu ya elimu, tunaishia kufundishwa kilimo cha ndizi jamaica, kilimo cha chai srilanka, kilimo cha kahawa brazili aina za kawaha sijui arabika na robusta......hatufundishwi Mambo ya msingi yanayohusiana na rasilimali za nchi yetu pamoja na...
  7. John locke

    Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

    Mtoto wa miezi miwili siyo vizuri kumuanzishia kula chakula, kama uwezo unaruhusu amtafutie mtoto maziwa ya kopo special kwa infants kuna S1, Aptamil.. pia mama wa mtoto anaweza kukamua maziwa yake na kuhifadhi ikifika wakati wa usiku anapasha moto na kumpa dogo.
  8. John locke

    Urasimu mkubwa kwenye ajira za mradi wa bomba la mafuta la Uganda na Tanzania (EACOP)

    We endelea kuamini ivo tu. Kuna watu wengi tu wamesomea nje ya nchi kuhusiana na hiyo Oil and Gas kabla hata hiyo kozi haijaanza kufundishwa bongo. Binafsi, ninao marafiki wamesoma Urusi, Uturuki, Uingereza na China. Wakati sisi wa elimu bure tunasubiri kozi za mafuta na gesi ziwekwe kwenye...
  9. John locke

    TRA fuatilieni hii kampuni ya wachina inayoitwa Hiview International Co Ltd, wanakwepa kodi sana

    Hawa Hiview binafsi nimefanya nao biashara muda mrefu, nimoja ya kampuni ambao wanazingatia sana kutoa efd risiti zinazoendana na uhalisia wa bidhaa ulizonunua. Ukiwa mteja wao wanachukua particulars zako(JINA,TIN,VRN, location) wanakufungulia akaunti yako kama mteja wao wa kudumu. Mleta mada...
  10. John locke

    Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

    Ukipost na picha za babies mama wake itapendeza zaidi[emoji6]
  11. John locke

    Ni sehemu ipi NAIROBI wanaishi watanzania wengi?

    Ni kweli Gikomba kuna wachaga wengi sana ila wengi wameshalowea huko, ila ukifanikiwa kumpata mtanzania mmoja anaweza kukutambulisha katika vikundi vyao huko utaweza kufahamihana zaidi.
Back
Top Bottom