Paul Kagame anafanya hivyo kwa maslahi ya mabeberu wa magharibi, ili na wao waendelee kulinda maslahi ya Rwanda katika Kongo mashariki. Ndio maana huwezi kusikia PK akiitwa dikteta na vyombo vya habari vya magharibi kwa sababu ni mtu wao ana faida na wao.
Mambo yenye tija kama haya hayapo katika mitaala yetu ya elimu, tunaishia kufundishwa kilimo cha ndizi jamaica, kilimo cha chai srilanka, kilimo cha kahawa brazili aina za kawaha sijui arabika na robusta......hatufundishwi Mambo ya msingi yanayohusiana na rasilimali za nchi yetu pamoja na...
Mtoto wa miezi miwili siyo vizuri kumuanzishia kula chakula, kama uwezo unaruhusu amtafutie mtoto maziwa ya kopo special kwa infants kuna S1, Aptamil.. pia mama wa mtoto anaweza kukamua maziwa yake na kuhifadhi ikifika wakati wa usiku anapasha moto na kumpa dogo.
We endelea kuamini ivo tu. Kuna watu wengi tu wamesomea nje ya nchi kuhusiana na hiyo Oil and Gas kabla hata hiyo kozi haijaanza kufundishwa bongo. Binafsi, ninao marafiki wamesoma Urusi, Uturuki, Uingereza na China.
Wakati sisi wa elimu bure tunasubiri kozi za mafuta na gesi ziwekwe kwenye...
Hawa Hiview binafsi nimefanya nao biashara muda mrefu, nimoja ya kampuni ambao wanazingatia sana kutoa efd risiti zinazoendana na uhalisia wa bidhaa ulizonunua.
Ukiwa mteja wao wanachukua particulars zako(JINA,TIN,VRN, location) wanakufungulia akaunti yako kama mteja wao wa kudumu.
Mleta mada...
Ni kweli Gikomba kuna wachaga wengi sana ila wengi wameshalowea huko, ila ukifanikiwa kumpata mtanzania mmoja anaweza kukutambulisha katika vikundi vyao huko utaweza kufahamihana zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.