Recent content by John locke

  1. John locke

    JamiiForums Tanzania Je? Kuna uwezekano wa kupata line ya pocket wifi router?

    Ttcl wana vifurushi na vyenye speed ya uhakika, kachukue line yao
  2. John locke

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuna watu wanaroga ili mwenye nyumba asahau kumalizia ujenzi au kuhamia kwenye nyumba yake?

    Kama kijijini mtu anarogwa anaacha mashamba anakimbilia mjini na harudi kwao mpaka anakufa, watu watashindwa kukutengeneza wewe usahau nyumba yako?
  3. John locke

    JamiiForums Tanzania Ulevi Unaninyima Amani. Ninaomba Msaada wenu

    Mimi kwa upande wangu, nilianza kwa kujitenga na marafiki walevi, pia niliweka nia ya kutokwenda kwenye vilabu vya pombe hata nikitoka naenda sehemu ambazo mara nyingi hawana vilevi. Kubwa zaidi nililolifanya kushinda tamaa za mwili kama ulevi, uzinzi, uvutaji wa sigara ni kufunga na kuomba...
  4. John locke

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una-deal vipi na mwenza mwenye high libido?

    Tafuta wapare utapata tu!
  5. John locke

    JamiiForums Tanzania Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

    Siku hizi ameslim anajiita Soraya
  6. John locke

    JamiiForums Tanzania Kama kuna mtu ananufaika na huu uhai basi ni huyo aliyetuumba!

    Leviticus 24:16 the punishment for blasphemy is death. Jeremiah 32:27 Behold, I am the LORD, the God of all flesh: is there any thing too hard for me?
  7. John locke

    JamiiForums Tanzania Je, kuna ubaya gani Serikali ikaruhusu sukari iagizwe kwa uhuru kama nguo Kariakoo?

    Hii issue ya sukari wanaofaidika nayo ni mabwanyenye wa nchi hii. Wamiliki wa viwanda ndio watu pekee wanaruhusuwa kuagiza sukari nje ya nchi hii kwa mujibu wa sheria. Lakini kwa kuwa gharama za uzalishaji sukari hapa nchini zipo juu kuliko kuagiza nje basi ni rahisi kwa wamiliki kucheza na...
  8. John locke

    JamiiForums Tanzania Kijana hakikisha unanunua gari yako ya kwanza kabla hujafikisha miaka 30

    Kuna bajaji inaitwa TVS king bei yake dukani ni 10.5M
  9. John locke

    JamiiForums Tanzania Inakuaje maofisini huku msomi ana Masters ila hajui kuandikia mradi

    Mwaka 2016 nilibahatika kuhudhurua annual technical meeting ya NGO moja hv ambayo ilikuwa imefadhiliwa mradi wake na UNEP kuhusu mambo ya climate change, wale jamaa walikuwa wametengewa bilioni 100 kwa miaka mitatu. Ndani ya mwaka mmoja walikuwa wametumia 38 bilioni. Kwa ufupi mradi ulikuwa uwe...
  10. John locke

    JamiiForums Tanzania Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    Siku PK akiacha kuwa kibaraka wao ndio utakuwa mwisho wake.
  11. John locke

    JamiiForums Tanzania Rwanda itafaidika na nini kupokea wakimbizi toka Ulaya

    Paul Kagame anafanya hivyo kwa maslahi ya mabeberu wa magharibi, ili na wao waendelee kulinda maslahi ya Rwanda katika Kongo mashariki. Ndio maana huwezi kusikia PK akiitwa dikteta na vyombo vya habari vya magharibi kwa sababu ni mtu wao ana faida na wao.
  12. John locke

    JamiiForums Tanzania Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

    Ukishika 10 ujue 50 ipo njiani, mia pia utashika ukikaza mpaka b utafika
  13. John locke

    JamiiForums Tanzania Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    Itakuwa unaongelea vyoo vya shimo wewe Sisi wengine unaweza kulia msosi chooni kwetu kwa jinsi palivyo. Hatuwezi kukubali huu ujinga wako.
  14. John locke

    JamiiForums Tanzania Tumia Pesa ya mkopo kwa nidhamu ya hali ya juu

    Ndugu zangu ukitaka kununua gari, achaneni na used za bongo tena ikiwa ndio gari yako ya kwanza acha.
  15. John locke

    JamiiForums Tanzania Heri ununue nyavu kuliko bodaboda

    Mambo yenye tija kama haya hayapo katika mitaala yetu ya elimu, tunaishia kufundishwa kilimo cha ndizi jamaica, kilimo cha chai srilanka, kilimo cha kahawa brazili aina za kawaha sijui arabika na robusta......hatufundishwi Mambo ya msingi yanayohusiana na rasilimali za nchi yetu pamoja na...
Back
Top Bottom