Maisha ni popote na kuchek fursa zilzopo kuzifanyia kazi.mi nimepangwa Bunda huko Mara...sipajui lakin sirud nyuma hata nikipangwa kijijin zaid ndo ntafrahi zaid
wanajamiii; hasa wale wadau wa ujasiriamali.
Nahitaji kujuzwa kwa maeneo ya Bunda ni fursa zipi zaidi za biashara naweza kushugulika nazo. Nahitaji kwenda, ikibidi hali ya mzunguko wa pesa wilaya ile upo vipi...
Natanguliza shukrani za dhati wadau...
Hatuna miaka mingi mbele lazima xenophobia iibuke na hapa kwetu TZ kwa hali hii jamaa mpaka sasa wapo 12000 na wanazidi kaba kila Biashara ndgo ndogo ambazo wazawa tulikuwa twazitegemea,,istoshe kuna baadhi maisha kwao yapo vizuri ila ndo mwendo wa Accumulation
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.