Nchi ikikosa Siasa Safi na Uongozi Bora tegemea hayo yanayotokea SA,
Kingine hawa watu weusi wenzetu wamesahau kipindi kile na wao wakiwa na changamoto zao za ubaguzi wa rangi ni chi hizi hizi za kiafrika ziliwapa hifadhi.
Kwa muda mrefu Simba amekuwa muhanga wa hawa marefa, mpaka unajiuliza wanafanya hivyo kwa manufaa ya nani? Angalia mechi iliyopita walikataa bao la wazi kabisa la Simba.
Ukiwaangalia hawa CCM walishapoteza muelekeo kitambo sana, hawana tena ushawishi siyo kwa hoja bali vioja,
Angalia jinsi ambavyo watu wametekwa na kuuwawa na hitimisho lilikuwa October 29,
Hawaaminiki kwa lolote wapo tayari kuuwa Watanzania zaidi ili waendelee kubaki madarakani .
Mbaya zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.