Mtabiri mpya au tuendelee kusubiri tabiri zilizopita, maana wengine walitabiri hivyo wao ndiyo wakafa na Chadema ndiyo kwanza ipo imara kuliko wakati mwingine wowote ule.
Wenzako waliotabiri hivyo walikufa wakaiacha Chadema.
Kwa taarifa yako Chadema iko vizuri sana kuliko wakati mwingine wowote.
Si unaona wewe na wenzako mmewateka na kuwaua wafuasi wao lakini bado wako imara.
Badilisheni sera zenu hizi za kuwateka na kuwaua unaona madhara yake kwa chama chako...
Amemvunjia sana heshima Mzee Chande, sema yule Mzee mvumilivu.
Unawezaje kuipa tume maagizo ya nini wakafanye ilikuwa haina maana ya kuunda tume kama ni hivyo.
Hili linadhihirisha hata ile tume ya uchaguzi inapata maelekezo toka kwake,
Mbaya zaidi kuongelea jambo ambalo tayari lipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.