Recent content by John Fedha

  1. John Fedha

    Huu ni mwisho wa CHADEMA, endapo hazitachukuliwa hatua za haraka basi chama kitasambaratika

    Mtabiri mpya au tuendelee kusubiri tabiri zilizopita, maana wengine walitabiri hivyo wao ndiyo wakafa na Chadema ndiyo kwanza ipo imara kuliko wakati mwingine wowote ule.
  2. John Fedha

    Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli walishawahi kusherekea siku zao za kuzaliwa wakiwa madarakani?

    Uchawa umeliweka Taifa mahali pabaya sana. Watu wanashughulishwa na mambo ya hovyo hovyo yasiyo na tija .
  3. John Fedha

    Nyayo za Lucy hizi hapa zimejaa mbigili

    Shangingi lililokubuhu mtaani.
  4. John Fedha

    Huyu ndo Mkuu wa Majeshi ambaye watu wanaweza kujivunia kuwa naye

    Wanajeshi wetu wapo kusubiri amri za kina kichwa bapa na kina Magoti za kufanya usafi mitaani...aibu sana.
  5. John Fedha

    White House yatoa video ya kumdhalilisha Rais Maduro akipelekwa kwa pingu Marekani

    Mwisho wa Madikteta uwa umejaa mashaka mengi.
  6. John Fedha

    TRC yasitisha Safari za SGR kati ya Morogoro-Dodoma kutokana na athari za mvua

    Walishapoteza Dira kitambo sana, ndiyo maana wakageuka kuwa watekaji na kuua raia hakuna kingine wanaweza.
  7. John Fedha

    PostGE2025 Samia: Tumeondokewa na wapendwa wetu, tuendelee kuwaombea

    Watupatie miili yao tukaizike kwa heshima zote.
  8. John Fedha

    Sijajua vigezo vilivyotumika kumteua Mwigulu kuwa Waziri Mkuu, hafai

    Labda walipo muona anavaa vaa yale maskafu yake, wakafikiri huyu ndiyo mzalendo kumbe bure kabisa.
  9. John Fedha

    Tumkumbushe Mwigulu majukumu ya Waziri Mkuu Kikatiba

    Amepwaya sana kwenye hii nafasi.
  10. John Fedha

    Huu ni mwisho wa CHADEMA, endapo hazitachukuliwa hatua za haraka basi chama kitasambaratika

    Wenzako waliotabiri hivyo walikufa wakaiacha Chadema. Kwa taarifa yako Chadema iko vizuri sana kuliko wakati mwingine wowote. Si unaona wewe na wenzako mmewateka na kuwaua wafuasi wao lakini bado wako imara. Badilisheni sera zenu hizi za kuwateka na kuwaua unaona madhara yake kwa chama chako...
  11. John Fedha

    PostGE2025 Swali la Leo: Kama ana Majibu Tayari ya kilichotokea wakati wa uchaguzi, Mazingaombwe ya Nini?

    Amemvunjia sana heshima Mzee Chande, sema yule Mzee mvumilivu. Unawezaje kuipa tume maagizo ya nini wakafanye ilikuwa haina maana ya kuunda tume kama ni hivyo. Hili linadhihirisha hata ile tume ya uchaguzi inapata maelekezo toka kwake, Mbaya zaidi kuongelea jambo ambalo tayari lipo...
Back
Top Bottom