Mtoa maada ana upungufu wa kufikiria NAMUULIZA je wewe uliwahi kuogombea nafasi chadema ukakosa? napenda anitajie makabila ya akina mdee/lisu/mnyika/zitto/slaa/ na wengine wengi kwenye chama.AU YY ANAFIKIRIA KUWA UCHAGGA NN?
Nduguni zanguni hiyo hati ya muungano ni fake na kuna wataalamu wa kutengeneza signature wapo hapo posta jirani na BILICANA kijiwe cha AZAM MJINI pia naomba ikumbukwe kuwa cccm ni wachakachuaji NA HII KATIBA WANATAKA KUITENGEBEZA KI CCM CCM hii katiba ciyo ya chama ni wanainchi NAULIZA KWA NN...
Lala ukiwa umeweka kidole mdomoni hii itasaidia sana pindi ukitaka kupekenya meno utatafuna kidole ukisikia maumivu utaamka cku zikiendelea mwili utajijengea woga pindi taarifa za kutafuna meno zikitumwa kwenye ubongo so kutakuwa na taarifa zinakatza kutafuna meno kwa tuu ubongo utatafsiri kuwa...
Swala la dini na muungano halina mahusiano kwani zilizoungana ni inchi na sio dini mbili ziliungana,kwani bara kuna waislam wengi kuliko znz pia ijulikana kuwa kanisa la kwanza africa mashariki ni lile la nzizibar sasa msije mkaleta swala dini kwenye muungano.dini uliyonayo ni yako ww na roho...
MWALIMU JKNYERERE ALIKUWA DIKTETA MKUBWA SANA NA KACHAWI VILEVILE KWANI ALIWEZA KUWALAZIMISHA WATANZANIA WAAMKIANE KWENYE MIKUTANO NA SHUGHULI ZA SEREKALI KWA KAULI MBIU ISEMAYO zidumu fikira sahihi za mtukufu julis k nyerere HII SLOGANY ILITUMIKA KUANZIA MASHULENI HADI KWENYE MIKUTANO YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.